Breaking News

Breaking News

Hata muandishi baada ya kuandika habari akatoweka pasipo julikana
 
[emoji3] [emoji2] Watu wasiojulikana wamevamia kwenye Jengo lisilo julikana wakiwa na silaha zisizo julikana na kufanya tukio lisilo julikana na kumtekanyara mtu mmoja asiye julikana na kutokomea naye kusiko julikana wakiwa na gari lisilo julikana -.......![emoji2] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji687]


:-chanzo [emoji342] TV isiyojulikana
Tafuta kazi ya kufanya ikupatie kipato.
Kupoteza muda wa watu ni jinai.
 
Huyu si ndiyo yule aliye pata zero form four
 
[emoji3] [emoji2] Watu wasiojulikana wamevamia kwenye Jengo lisilo julikana wakiwa na silaha zisizo julikana na kufanya tukio lisilo julikana na kumtekanyara mtu mmoja asiye julikana na kutokomea naye kusiko julikana wakiwa na gari lisilo julikana -.......![emoji2] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji687]


:-chanzo [emoji342] TV isiyojulikana

Hivi Jamani shule za msingi hazijafunguliwa tu!
 
[emoji3] [emoji2] Watu wasiojulikana wamevamia kwenye Jengo lisilo julikana wakiwa na silaha zisizo julikana na kufanya tukio lisilo julikana na kumtekanyara mtu mmoja asiye julikana na kutokomea naye kusiko julikana wakiwa na gari lisilo julikana -.......![emoji2] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji687]


:-chanzo [emoji342] TV isiyojulikana
Ukikuwa utaacha
 
Kapatia, yuko kwenye eneo sahihi la jokes, vinginevyo ningemwambia " pumbavu wewe"
 
[emoji3] [emoji2] Watu wasiojulikana wamevamia kwenye Jengo lisilo julikana wakiwa na silaha zisizo julikana na kufanya tukio lisilo julikana na kumtekanyara mtu mmoja asiye julikana na kutokomea naye kusiko julikana wakiwa na gari lisilo julikana -.......![emoji2] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji687]


:-chanzo [emoji342] TV isiyojulikana
Moderators huyu kaiba habari yangu na kuifanya ya kwake

Breaaking Neeeeeeeeeeeeeeewz


Unganisheni uzi na kisha mumpe ban kwa kuiba habari yangu
 
Back
Top Bottom