daneyodry
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 350
- 227
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba basi la usafiri wa mwendokasi liitwalo SARATOGA lenye namba ya usajiri T469 SHE lililokuwa likitokea Kigoma kwenda Dar likiwa na abiria 75, majira ya saa 12 jioni ya leo liliacha njia kuu na likaingia hotelini, na abiria wote wakapata msoxi saaafi wa usiku kisha wakaendelea na safari. [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
sio kila siku habari za ajili tu[emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
sio kila siku habari za ajili tu[emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app