Breaking newz: Wawili Walazwa baada ya kunywa sanitizer

Ahahahaaaa majirani mna nini lakini?

macson
 
Wakenya buana kwa ushamba,wamekunywa satinaiza,oooh sorry Sanitizer
 
MH kwa hapa hawa ndugu zangu!!ni kingereza tu

mwongo atofautiani Na mchawi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawa noise neighbors wana vituko sana [emoji16][emoji16][emoji16]

.
 

Hehehehe!! Wataalam wanaita hizi sanitizers "alcohol", serikali imefunga vilabu vya pombe na kukamata watu wakikutwa wanakunywa pombe, utadhani hii nchi Mecca, hehehehe!!!
Subiri na nyie ifike vifungwe, mtaanza kuonana kila mtu kwenye uhalsia wake, hapa tumewekewa curfew hakuna kutoka nje baada ya sa moja za usiku, waume wanaingia kejani mapema na kukumbana na wake zao, inabidi kuvumiliana kwenye ndoa, hamna unafuu uliokuwepo wa kujificha bar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…