Ahahahaaaa majirani mna nini lakini?Watu wawili waliotambulika kwa jina la Joseph Omolo na Jackline Wambui wakazi wa Kakamega nchini Kenya wamelazwa katika hospital huko Kakamega baada ya kuzidiwa kutokana na kunywa dawa ya kuoshea mikono maarufu kama sanitizer.
Sosi. Ntv kenya
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
wasukuma aoWatu wawili waliotambulika kwa jina la Joseph Omolo na Jackline Wambui wakazi wa Kakamega nchini Kenya wamelazwa katika hospital huko Kakamega baada ya kuzidiwa kutokana na kunywa dawa ya kuoshea mikono maarufu kama sanitizer.
Sosi. Ntv kenya
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwel hawa wakenya wanatuzid kwa kila ki2Watu wawili waliotambulika kwa jina la Joseph Omolo na Jackline Wambui wakazi wa Kakamega nchini Kenya wamelazwa katika hospital huko Kakamega baada ya kuzidiwa kutokana na kunywa dawa ya kuoshea mikono maarufu kama sanitizer.
Sosi. Ntv kenya
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
MH kwa hapa hawa ndugu zangu!!ni kingereza tuWatu wawili waliotambulika kwa jina la Joseph Omolo na Jackline Wambui wakazi wa Kakamega nchini Kenya wamelazwa katika hospital huko Kakamega baada ya kuzidiwa kutokana na kunywa dawa ya kuoshea mikono maarufu kama sanitizer.
Sosi. Ntv kenya
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app