Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kiroba wewee
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]kwa mwendo huu hakika shunie anakibarua kigumu.
AiseeDalili za ugonjwa wa akili
Dah...Labda anataka bwana 😀😀😀Mbona na wewe hujulikani? Jianaume zima linajifanya jianamke, msxcheeew!
Sijaelewa ninachosoma mkuuWatu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana
Na kufanya tukio lisilojulikana na kukimbilia kusiko julikana na mpaka sasa hakuna kinachojulikana
Na mimi sijui ninachosema
Je wewe unaelewa unachosoma ??
acha kudhalilisha bange, watu wamemagufuliwa huko, wee unasingizia bange.Bange mbaya sana!