Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
oya ko nawe uka jiona janjaaaš¤£š¤, kumbe zuzu la mangengeniš¤£Love ipo ila sijui ni kwanini ukiwa tayari kwa mtu fulani na ukamuonesha ule upendo wenyewe yeye anakuona fala hasa nyie wanawake.
Hahaaa nimecheka hapo kuna mzigo umekukwama kifuani.Yule dada alifanya nikawa nasikia kama kuna kitu kizito kimekwama kifuani, ilinichukua miezi kama 6 kukaa sawa. Mtu mko vizuri tu hamjagombana umeenda tu mkoa tofauti kama mwezi Ile umejipanga sasa unarudi uonane na bebe anakwambia hatuwezi kuonana mi mke wa mtu.
UsiwazeTafadhari naomba unitag š
Siku za mbeleni huwa wanakuja kujuta.We acha tu mzee wangu, hawa wapenzi wetu wana waamini sana marafiki zao hasa kwenye mambo ya mahusiano yn wakikuweka kwenye mahakama yao ujue umeisha
Niliyatimba si mchezo, integral zote nilikuwa naona ni kama cobra vile anataka kunitemea mate usoniUliyakanyanga. š¤£
Kawaida tuu ...Kumbe wewe ni mzee
..........Ukitaka kuenjoy mahusiano ishi kifake fake wakati mtu anajua ana moyo wako kumbe unamngāongāa na kumcheka pembeni š¤£š¤£š¤£š¤£
Kasheshe hii šššššChai ya mwaka hiiššš
Wewe jiheshimu šššššNope, katoto hakoš¤£
Ilikuwaje hadi kukuacha na watoto? Ila watu wana roho mbaya lohKiliniramba alooh! Maji niliita mma, siku tatu nzima nilijifungia ndani, na repeat song ya pain in me kuanzia asubuhi hadi usiku..usiku wa manane. Nakumbuka watoto wanarudi shule jioni wanaona kama siko sawa." Daddy are you allright?!" .lilikuwa swali la watoto kila wanaporudi shule. Sasa sijui walizungumza nini na mama yao ( ex - wife ) akanitumia ujumbe angalau ulinipa nguvu na kuwaza kuwa inabidi nisimame imara. " alubati are you okay? Najua hali hii inaumiza lakini imeshatokea,hakuna kitu tunaweza badilisha,move on...stay strong..stay strong just for hao watoto,unawapa wasiwasi na unyonge pia." Kuanzia hapo nikawa kama nimezinduka usingizini. Hata aina ya mziki nikabadilli sasa kutoka why dont you see that pain in mee ...hadi ridin' ya chamilionare,nakumbuka nikiwa room na rap " they se me rollin' ..they hatin patrollin tryna catch me ridin' dirty,tryna catch me ridin' dirty..
Nashukuru Mungu hili nalo lilipita salama.
Sasa hivi nikiwa na wapenzi watano naona wachache.
Mi janja sana chali wanguoya ko nawe uka jiona janjaaaš¤£š¤, kumbe zuzu la mangengeniš¤£
Mahusiano yapi unazungumzia, mbona sina (in hakika voice)Ndio punguza kupenda mtu hovyo anza kujipenda mwenyewe, mahusiano yasiyo na afya achana nayo utakufa na presha
ujanja wa kubwa la manusuMi janja sana chali wangu
Kuna mmoja aliniacha , kumbe kamvisha mdada mwingine Pete, .nikaja kuambiwa na rafiki zake. Ila haya maisha, wamekuja kuachana tena ndoa ya kanisani. Juzi juzi kanitafuta. Haya maisha bwana ni bora kumuambia mtu ukweli kuwa nina mtu mwingine kuliko kufanya maamuzi kimyakimya.Siku za mbeleni huwa wanakuja kujuta.
Anaweza kufika miaka 35 hajaolewa, anaanza kujutia ya nyuma. Karma inatenda hapo maana unakuta alikuacha kwa nyodo.
Naamujanja wa kubwa la manusu
Nilipokonywa na boss wa wizara ndugu yangu mambo ya kuhamia Dodoma hayoIlikuwaje hadi kukuacha na watoto? Ila watu wana roho mbaya loh