Breakup ya kwanza ilikuaje?

Breakup ya kwanza ilikuaje?

uzur n kwamba tumbo na moyo havihusiani bwan 😂😂ebu imagine nyama aah napenda sana misos mizur mizur ndo ilkua mingi apana nilchagua kula🙌🏾
Ndo maana nikasema kila mtu alipita njia yake! Ungeachwa usingepata appetite ya kula, hakuna msosi utakua delicious kwako,🤣
 
Kiliniramba alooh! Maji niliita mma, siku tatu nzima nilijifungia ndani, na repeat song ya pain in me kuanzia asubuhi hadi usiku..usiku wa manane. Nakumbuka watoto wanarudi shule jioni wanaona kama siko sawa." Daddy are you allright?!" .lilikuwa swali la watoto kila wanaporudi shule. Sasa sijui walizungumza nini na mama yao ( ex - wife ) akanitumia ujumbe angalau ulinipa nguvu na kuwaza kuwa inabidi nisimame imara. " alubati are you okay? Najua hali hii inaumiza lakini imeshatokea,hakuna kitu tunaweza badilisha,move on...stay strong..stay strong just for hao watoto,unawapa wasiwasi na unyonge pia." Kuanzia hapo nikawa kama nimezinduka usingizini. Hata aina ya mziki nikabadilli sasa kutoka why dont you see that pain in mee ...hadi ridin' ya chamilionare,nakumbuka nikiwa room na rap " they se me rollin' ..they hatin'.. patrollin tryna catch me ridin' dirty,tryna catch me ridin' dirty..
Nashukuru Mungu hili nalo lilipita salama.
Sasa hivi nikiwa na wapenzi watano naona wachache.
Wife ex wife alijua unapitia nini, wengi they don't bother tena anafurahi uumie!
 
Miaka hiyo kale katoto kaliniacha bila sababu nilishangaa kanasema "I DON'T LOVE YOU ANYMORE I WAS PRETENDING F0R SO LONG".... Aisee maumivu yake yasikie tu kiliuma kinyama. Nenda sana beach kupiga makelele maumivu yatoke. Ilinichukua mwezi kukaa sawa. Kajinga sana kale😀😀😀
 
Mi wasichana wamtaani kwetu walikuwa wanadai bora wakae na magazeti kuliko kuwa na mahusiano na mimi (bonge la komwe halafu nilikuwa nimetitia,kafupii ,keusii).Hata huyu nilienae sasa hivi sijui kanipendea nini.Sina break up yoyote kwa sababu nilikuwa sitongozi .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Poleni sana wanaume kumbe ndo mnavyoumiaga hivi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hebu atokee mwana wa Israel mmoja anikoseshe amani, nilie nihuzunike nishindwe kula. Tatizo mimi msg za mapenzi nazisoma kwa herufi kubwa ndiomana hata mtu akisema tuachane hainiumizi..!! Namwambia kwenda mwana kwenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujakutwa na jamaa afu nawe ukakubali umezama kwake.
Mbona utasema, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yeah sure,sijawahi tena kuumia na kuna siku tulikutana somewhere we even shared a room ila hata kusisimuka hakuna it was as if am with my sister...
that's it....ukitembea mbele nenda usirudi#gentleman code
 
Hujakutwa na jamaa afu nawe ukakubali umezama kwake.
Mbona utasema, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui nikoje udugu, nikimpenda mwebrania ila akianza kunionyesha red flags mapema naanza kumsoma kwa herufi kubwa na biashara inaishia hapo..!! Kinachobaki ni kufake mpk atakapoona yy ajitoe muda huo mimi nishamtoa kitambo 😂😂😂😂
 
Niliingia kwenye mahusiano nikiwa mdogo, kwa kifupi nilizama kwa jamaa, ghafla bin vuup, jamaa ananimwaga tena ananitema kavu kavu.

[emoji24][emoji24][emoji24] nusu watangaze coca ameanza uzezeta km sio undondocha.

Ashukuliwe kijana M, alikuja kwangu km ametumwa kwa lengo maalumu, alinibadilisha fikra, mtazamo, mawazo, na akanionesha uhalisia wa maisha ya mahusiano, akanijenga msimamo, na akafundisha maisha namna yalivyo.

Popote ulipo M, ubarikiwe zaidi na zaidi, natamani 1 day tuonane ili nikushukuru kwa yote ulioni tendea, bila wee Leo nisingekua mie na sio hapa nilipo.

....mapenzi ya kweli yapoo....
 
Sijui nikoje udugu, nikimpenda mwebrania ila akianza kunionyesha red flags mapema naanza kumsoma kwa herufi kubwa na biashara inaishia hapo..!! Kinachobaki ni kufake mpk atakapoona yy ajitoe muda huo mimi nishamtoa kitambo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliii?
 
Niliingia kwenye mahusiano nikiwa mdogo, kwa kifupi nilizama kwa jamaa, ghafla bin vuup, jamaa ananimwaga tena ananitema kavu kavu.

[emoji24][emoji24][emoji24] nusu watangaze coca ameanza uzezeta km sio undondocha.

Ashukuliwe kijana M, alikuja kwangu km ametumwa kwa lengo maalumu, alinibadilisha fikra, mtazamo, mawazo, na akanionesha uhalisia wa maisha ya mahusiano, akanijenga msimamo, na akafundisha maisha namna yalivyo.

Popote ulipo M, ubarikiwe zaidi na zaidi, natamani 1 day tuonane ili nikushukuru kwa yote ulioni tendea, bila wee Leo nisingekua mie na sio hapa nilipo.

....mapenzi ya kweli yapoo....
Ujinga huo na kujiendekeza unapendaje toto la mtu hafu unakuta ana bichwa kubwa km tofari 🤣🤣🤣🤣
 
Ujinga huo na kujiendekeza unapendaje toto la mtu hafu unakuta ana bichwa kubwa km tofari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu yule shetty wa mama mkwe, nilizama haswaaa. Yaan wee acha tyuuh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliii?
Kuna shem wako anaomba kila siku ajirudishe kashaniweka vikao mpk kachoka 🤣🤣🤣🤣
Nguo zake nilichoma moto zote na kwangu nimempiga marufuku.! Nishamblock mpk nimechoka nimeamua niache..!!
Hapo kati nikaanzisha husiano la mitandaoni nalo limebuma mapema 🤣🤣🤣

Ss hivi kuna mwebrania namsikilizia aliniapproach kitambo ananisumbua mjukuu wa Queen Elizabeth yupo copper belt hapa ndo nataka nimpe nafasi ila huyu napanga nichukue na mbegu nizae ka half cast kangu ntulie 🤣🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu yule shetty wa mama mkwe, nilizama haswaaa. Yaan wee acha tyuuh
🤣🤣🤣🤣 Pole udugu mapenzi yangekuua udugu wangu, ss hivi usipende sana bana
 
Utalia kuliko huyo mtoto utakae mzaa[emoji1787]
Kuna shem wako anaomba kila siku ajirudishe kashaniweka vikao mpk kachoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nguo zake nilichoma moto zote na kwangu nimempiga marufuku.! Nishamblock mpk nimechoka nimeamua niache..!!
Hapo kati nikaanzisha husiano la mitandaoni nalo limebuma mapema [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ss hivi kuna mwebrania namsikilizia aliniapproach kitambo ananisumbua mjukuu wa Queen Elizabeth yupo copper belt hapa ndo nataka nimpe nafasi ila huyu napanga nichukue na mbegu nizae ka half cast kangu ntulie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna shem wako anaomba kila siku ajirudishe kashaniweka vikao mpk kachoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nguo zake nilichoma moto zote na kwangu nimempiga marufuku.! Nishamblock mpk nimechoka nimeamua niache..!!
Hapo kati nikaanzisha husiano la mitandaoni nalo limebuma mapema [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ss hivi kuna mwebrania namsikilizia aliniapproach kitambo ananisumbua mjukuu wa Queen Elizabeth yupo copper belt hapa ndo nataka nimpe nafasi ila huyu napanga nichukue na mbegu nizae ka half cast kangu ntulie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao wajukuu wa Elizabeth, chukua mbegu fastaaa, ila umtunze vzur, sio anakua half cast koko utasema katelekezwa na m German bhana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pole udugu mapenzi yangekuua udugu wangu, ss hivi usipende sana bana
Sahivi mda wa kupenda ninao sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee siogopiii?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao wajukuu wa Elizabeth, chukua mbegu fastaaa, ila umtunze vzur, sio anakua half cast koko utasema katelekezwa na m German bhana.
Udugu em niache umenifanya nicheke 😂😂😂😂
Huyo mjukuu wa malkia ananipenda hajielewi ni mimi kubonyeza kitufe cha kukubali biashara iishe.!!
 
Back
Top Bottom