Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Vp ww kwako ilikuaje🤣🤣🤣🤣🤣 Pole sana, tatizo ulikutana na master shivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp ww kwako ilikuaje🤣🤣🤣🤣🤣 Pole sana, tatizo ulikutana na master shivo
Mimi sijawahi kushobokea men aiseee!! Hutaki nenda wasalimie kila la kheri 🤣🤣🤣🤣Vp ww kwako ilikuaje
wasipoelewa hii basi tenaMsichokijua furaha ya kweli inaletwa na wewe mwenyewe, sasa hivi mpz wako akikutumia msg soma kwa herufi kubwa na usisome kwa hisia uone km utaumia 🤣🤣🤣
Sifundishi tena hii ya mwisho
🤣🤣🤣 hatar sana.A lot of abnormal activities
1. Kushika kwanja kufyeka majan hata nyakati za usiku
2 kuswali swala ya alfajiri msikitin na haikuwa kawaida yangu
3 kuanza kusoma madrassa na kumrudia mungu kwa fujo
4 Kuwa motivational speaker wa mitandaoni 😀😀
MAPENZI KONYO SANA
Dj naomba nipigie Kuachwa ya Kahlid Chokoraa. usifanye kichi kichi hadi mwisho
Unajiendekeza amini hivo bro 😝N
Najua huwezi elewa, na mm niliwaona wenzagu mafala kabisa, 🤣🤣🤣 apo ndo nikaja amini ule msemo yaliwatesa bibi na babu.. kwqnza una umri gani nisije pingana hoja na mtoto..
Nimechoka kuwasanua 😂😂😂wasipoelewa hii basi tena
Acha tu mkuu,Mgote complicator plus mapenzi, kama nakuona vitu vinavyo vapour kichwani 🤣😂
Bado UP 😄Bado hapo una chand ya physics naona ulipo
itia kipind kigum sana🤣.
Kwenye harusi nakuja ila sichangii, kabla sijasahau tugawane hizo pesa unazotumiwa na hao mashangazi wa ughaibuni 😜Nilikua na Binti mmoja anaitwa Neema sintokuja kumsahau aliniumiza kiukweli, akaniacha akaenda Kwa bishoo mmoja aliekua na swagger kuliko mimi, ingawa kipato nilikua namzidi yule msenge wa NIT, kisa kafata mm dini nyingine nayeye anataka msabato mwenzake. Sijawahi kuumia kama vile, lkn nililipiza Kwa kumto..mba.. binamu yake. Yule manzi nilimpa Kila kitu lkn alinipiga chini.
Kuna manzi mwingine huyu ndioo nilimpenda kinoma , tulikutana advance darasa la PCM, Mtoto kutoka Manzese mtoto cheupeee, alikua na mauno hatariii 😊. Halafu alikua vizuri kichwani mtoto wa kizaramo plus kikwere alikua na uch..mtamuu balaa halafu alinipenda kinoma pia, lkn ilivyofika 20021 akanipiga chini akaolewa , nilisikiliza nyimbo zote za DIAMOND za mapenz lkn haikusaidia niliumia kinomaa.
Demu aliolewa na Mjeda CAPTAIN ambae Sasa hivi msenge ni Meja, mpaka Sasa anasoma masters ughaibuni, na hachoki kuniambia alinopenda na ananipenda, namara Mojamoja alikua ananitumia miamala😃.
Lakini namshukuru Mungu baada yakuachana nae nilikuja pata Hilo shavu, nabahti mbaya yeye ndio nilimuandikaga mdhamini wangu kwenye CV kipind hicho, kwahio alitafutwa aelezee ananifahamu vipi, kiukweli alinielezea vizuri tu namshukuru kwa hilo.
Jambo baya kwao wote wawili walitoa Mimba zangu, nalicha yakuolewa hawajahi pata watoto. Nafikir Mungu ananilipia Kwa namna nilivyowapenda .
BTW Sasa hivi nakitoto changu nimekizidi miaka 9 ndio nakipiga piga na InshaAllah mwakani ntavuta jiko.
Lamomy utokee kwenye harusi.
Ww ni mr lava lava acha kuyachukulia mapenzi serious 🤣🤣🤣Sina cha kushauri zaid ya kusema... "utajua hujui 🤣" mwisho wa nukuu.
hahahah,wew jamaa ni mimi mtupu,gheto nilikua nakula push ups kila nikiamka,movies za kikatili zikawa kipoozeo,hatimae nilimsahau na kuanza kuwa~hit em up!yule manz alinikomaza na kunipa new life style!...ila Pac ana madude hatari!Kwenye hiphop hapo na mimi nimo, ngoma za 2pac zote zipo kichawni. Jamaa alinimotivate sana ku move on... Hasa ngoma ya "life goes on"
We mkinga wewe miamala haipo siku izi maana anajua nshajipata. alikua ananitumia Kwa vile anajua sure nilimpenda upendo wakweli sema ndio hivo alifata maokoto Kule maana Huwa anasema aliangalia future ya maisha yakwao , na nikweli Jamaa limewajengea mpaka kwao. Mimi ndio nahangaika kwenye vyumba vya elfu 30 hapa jirani na nyumba yako.Kwenye harusi nakuja ila sichangii, kabla sijasahau tugawane hizo pesa unazotumiwa na hao mashangazi wa ughaibuni 😜