makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mie yalinikuta ya kutia mimba A LEVEL sio mgote tu hata mouddy physics alikuwa hakai kichwani. 😂🤣Acha tu mkuu,
Nili-drop sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie yalinikuta ya kutia mimba A LEVEL sio mgote tu hata mouddy physics alikuwa hakai kichwani. 😂🤣Acha tu mkuu,
Nili-drop sana.
Pole sana mkuu,hakuna kitu kinauma kama mtu unayempenda kukuambia hakuona faida yyte kwenye mahusiano,usiombe yakukukte,aisee nimeumia kwa sababu nami niliambiwa maneno kama hayo,kuwa hakuona faida yoyote kuwa nami na Wala hawezi kunikumbuka kwa chochote duh!Break yangu ya kwanza ilikua 25 December 2009 jioni ya X mass kwa My first love na ndiye mwanamke wa kwanza kufanya nae mapenzi tuliachana baada ya kumfumania ndani na rafiki wa kaka yangu wanafanya mapenzi.
Then pale demu aliposema anampenda mchizi kuliko mimi jamaa alikua yuko njema tu kiuchumi kumbuka ni rika la kaka yangu na nilienda pale baada ya kutumwa na bro kufuata kisu maana tulikua tunakaa jirani kwa bahati mbaya hakua amefunga mlango ndo ikatokea hilo maana walikua wanafanya pale sebuleni. Hiyo siku nililia kama mtoto mdogo na ukaibuka ugomvi mkubwa kati ya kaka yangu na mshikaji wake baada ya miaka 3 ndo wakaumaliza ila aliniachia kovu yule mwanamke.
Break yangu ya pili hii ndo mpaka sasa inaniuma sana kuliko ya kwanza nilikutana na mtoto facebook mwaka 2012- hadi tarehe 16/01/2023 ilikua ndo mwisho wa mapenzi yale mazito ,yote naweza sahau ila kauli ya "HAKUNA CHOCHOTE NAJIVUNIA KUHUSU WEWE TANGU TUMEANZA UHUSIANO". Wakuu mpaka sasa wametokea wanawake mbalimbali wakunitongoza au kuonesha dalili ya kunihitaji tena wengine mpaka pesa nikikwama wnanisaidia ila still imekua ngumu tena kumatch na mwanamke. Nimetumbukia kwenye msongo wa mawazo sana.
NB:Mwanamke wa kwanza alikua mzuri balaa kuliko wa pili ila mpaka sasa huyu wa pili ndo alinivuruga zaidi.
Kwa mwanaume yoyote jitahidi sana kutafuta uchumi mwanamke akikutangulia hatua 10 mbele kwa uchumi hilo penzi halitasavaivu.
Anyway maisha lazima yaendelee.
Hunijui wewe, umesoma uzi lakni🤣 acha mizengwe na kufikiria mtu utakavyo mtoto kabisa kumbe dah, nyie ndo mnaohisi mapenzi ni kama chakula unakula na kuny* Lamomy nimekushusha viwango 🤣! Juzi nilikusifia kwenye uzi wako uloanzishiwa sjui na nani, nahis nae zoba tu, najuta kufanya ivyoo🤣🤣🤣Ww ni mr lava lava acha kuyachukulia mapenzi serious 🤣🤣🤣
and never shall it come again!!ni sawa na kutahiriwa huwa haijirudii mkuuIlichukua miaka 10 kumsahau..I think nilmpenda kuliko uhai wangu,zaid ya uwezo wangu wa kufikiri..it happened once.
Acha kuzungumzia saiv, zungumzia ile kipindi bado sio guru huko kipindi pichu ikishushwa huku we unapandisha hukuMimi sijawahi kushobokea men aiseee!! Hutaki nenda wasalimie kila la kheri 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Ndio tatizo lenu wabongo hampendi kusikia upande wa pili unasemaje, mnataka kusikia kile mnachokipenda..!!Hunijui wewe, umesoma uzi lakni🤣 acha mizengwe na kufikiria mtu utakavyo mtoto kabisa kumbe dah, nyie ndo mnaohisi mapenzi ni kama chakula unakula na kuny* Lamomy nimekushusha viwango 🤣! Juzi nilikusifia kwenye uzi wako uloanzishiwa sjui na nani, nahis nae zoba tu, najuta kufanya ivyoo🤣🤣🤣
Ila yule mwamba ngoma ya hit em up(michano ya humo ni next leve) aliua hatari, ukisikiza huwez kosa motivation alikua na spirit flan hv hakuna rapa duani atakuja kum replace. He's the great rapper of all time.hahahah,wew jamaa ni mimi mtupu,gheto nilikua nakula push ups kila nikiamka,movies za kikatili zikawa kipoozeo,hatimae nilimsahau na kuanza kuwa~hit em up!yule manz alinikomaza na kunipa new life style!...ila Pac ana madude hatari!
😂 ilkua ninHaikuwa break up hiyoo!
Sure...alinifanya niwe imara sana...ogopa kuachana na mwanamke unayempenda halafu mazingira nje ya mapenz yanawakutanisha kipindi una struggle kumsahau..Pole sana mkuu. Hisia zina nguvu kupita akiri. Ila mwishoni lazima ukubaliane na hali.
😂😂😂😂 Sikumbuki kuumizwa na kenge yoyoteAcha kuzungumzia saiv, zungumzia ile kipindi bado sio guru huko kipindi pichu ikishushwa huku we unapandisha huku
Yeah sure,sijawahi tena kuumia na kuna siku tulikutana somewhere we even shared a room ila hata kusisimuka hakuna it was as if am with my sister...and never shall it come again!!ni sawa na kutahiriwa huwa haijirudii mkuu
Nan kasema haja move on, hujasoma uzi unaleta mabishano tu humu🤣, nakujua vizuri nd zako ila sikushangai 🤣🤣🤣. Mbona ninaye tena pisi ye yenye kila sifa.🤣🤣🤣🤣 Ndio tatizo lenu wabongo hampendi kusikia upande wa pili unasemaje, mnataka kusikia kile mnachokipenda..!!
Mi nimekuvua nyota zote haiwezekani ulalamike kuachwa na mtoto wa kike na mpk sasa bado hujamove on!! We vipi??
Uongo 🤣🤣🤣🤣Nan kasema haja move on, hujasoma uzi unaleta mabishano tu humu🤣, nakujua vizuri nd zako ila sikushangai 🤣🤣🤣. Mbona ninaye tena pisi ye yenye kila sifa.
nailed it,sijawahi vua ndumu,hata tungi sijui but i am thugger vibaya mno,hiphop za mbele zinakufanya uwe hustler na kuwa mgumu sio kulialia na vitu vidogo,sasa iv niko less emotional living my life!Ila yule mwamba ngoma ya hit em up(michano ya humo ni next leve) aliua hatari, ukisikiza huwez kosa motivation alikua na spirit flan hv hakuna rapa duani atakuja kum replace. He's the great rapper of all time.
sku hizi natumia slogan ya booty calls. nachapa manzi napita hivi, kuna faida ya kuwa thug mzee, watu wanahisi ni mpka uwe mvuta bangi kama mathug wengine, hio ni lifestyle tu.
Kweli wanaumr tumeumbiwa mateso 😂😂Dah mie nadhani bado maana nimewza hapa idadi ya pisi nlizopukutisha na kupiga chini pamoja na zile zilizonipiga chini sijawahi umia zaidi ya mmoja tu ambaye siku tunalimana maneno ya kumwagana akaropoka kuwa mm sijui show na alikuwa ananivumilia tu...dah asikwambie mtu nliumia mwezi mzima badae nkasema ntamtokea tena Ili akiingia kingi aisome namba ila ndio hivyo alishastuka.Kifupi yule manzi ananiuma hadi Leo na Sio Kwa lingine bali neno lake like.
uzur n kwamba tumbo na moyo havihusiani bwan 😂😂ebu imagine nyama aah napenda sana misos mizur mizur ndo ilkua mingi apana nilchagua kula🙌🏾Hapo kila mtu alishika njia yake🤣🤣🤣. Et umeachwa af unanenepa huoni ni kama ulijitua mzigo?
Yule dada alifanya nikawa nasikia kama kuna kitu kizito kimekwama kifuani, ilinichukua miezi kama 6 kukaa sawa. Mtu mko vizuri tu hamjagombana umeenda tu mkoa tofauti kama mwezi Ile umejipanga sasa unarudi uonane na bebe anakwambia hatuwezi kuonana mi mke wa mtu.Mwaka jana mwishoni niliexperience hio kitu, asikwambie mtu. Acheni mapenzi yawe kitu chenye nguvu kubwa duniani. Mimi nimekua nikiona watu wanalizwa na mapenzi, ila niliwachukulia wanyonge wa hisia na kuwaona wajinga kulilia mtu mwingine. Nilikua nasema huku nikijihisi ushupavu kua kamwe sitofanya huo uzembe.
Nimedate na wasichana kibao, ila hata kama tukiachana si feel ile sense nimepoteza kitu, labda sikupenda nilitamani who knows? Ila kamwe sikuwahi kuumia. Nilisikitika for maybe 2 days hivi then imepita hio, harakat za kusaka mwingine zinaanza.
Ila huyu msichana, sjui tu... labda nafsi ziligongana. Wakuu, omba yasikukute, alaf mapenzi sjui yapoje? It comes when you least expect, and goes when you need it the most. Sijawahi pitia maumivu makali kiasi hiko. Sikuhizi hata nikiona mtu kadata kwenye mapenzi simshangai.
Miezi almost 2 naugulia maumivu makali, nilikonda ndani ya 2weeks[emoji1787]. Asee mda mwingi namuwaza yeye tu, na kwa vile nilitaka yaishe kabisa mm huwa sipendi kwenda back and forth, napenda uwazi kama mtu ataonesha tofauti napenda kwenda straight. Ila kwa huyu mtu nilikua kama zoba vile, yaani makosa afanye yeye mimi ndo wa kuomba samahani. Ilifika kipindi nikasema enough. Alikua na jeuri coz alijua nimeoza.
So kuna siku nikasema nakiwasha, akiwaka fresh maana am not a slave. Tukawakiana then ukawa ndo mwisho, nilifanya makusudi ili nijiengue kwenye hilo tanuri la moto ingawa nilijua fika kabisa itaniumiza for so long.. Guys, ile week ya pili 2 niliisha sana, nilipoteza maana ya maisha bcoz yeye pia alikua na sehemu kwenye maana hio.
Mawazo mtiririko kama mfereji wa maji yalipita endlessly kwenye ubongo wangu kutwa kucha kumuwaza yeye. Huyu msichana alinifanya nisilale masaa 8 kama mwanadamu wa kawaida. Msosi haupandi, nikakosa interest kwenye hobbies maana it was fun alipo kuwepo. Basically maisha yangu yakawa stagnant. Ikawa ni cycle ya kuamka, kwenda kazini, nikirudi ntazuga naangalia movie mpk macho yaume maana nikisema niende kulala tu, naanza kumwaza, hapohapo ntaanza kuumia moyo. So nilijiforce kuwa busy to mda uende siku iishe nianze cycle upya. Inshort skutaka tena mahusihano na mtu mwingine. Mpk hapo baadae nilipo pona hayo maumivu ya kumpoteza huyo mrembo. Ilinichukua almost miezi 2 ku heal na kuanza kukubaliana na hali, kuwa maybe hakuwa fungu langu. L
kadri siku zilivyo kua zinaenda ni kama mzigo flan ulikua unashuka emotionally.... duuh stori imekua ndefu nitaweka mwendelezo nikipata time,
Vp wewe, uliwezaje ku overcome first breakup? Kingine kuna watu hawajawhi kupenda kweli, wao wanatamani kama mm nilivyo kua mwanzo so hawana experience ya kupenda kweli, kuna tofauti kubwa hapo. Naomba hicho kigezo kizingatiwe kwenye comments.
Niliyaanza baada ya form IV, kale kalikizo. Yalinigharimu. 😄Mbona kukonda lazima,🤣 mapenzi ya shule niliyaepuka kama ukoma, eti sjui makoloni, niliona wenzangu wanavyo pata tabu nikajiepusha na kukosa D mbili mapema.
Uliyakanyanga. 🤣Mie yalinikuta ya kutia mimba A LEVEL sio mgote tu hata mouddy physics alikuwa hakai kichwani. 😂🤣