BRELA, ifanyeni tovuti yenu kuwa rafiki kwa watumiaji (user friendly)

BRELA, ifanyeni tovuti yenu kuwa rafiki kwa watumiaji (user friendly)

red label

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
439
Reaction score
886
Naandika hili andiko kwa masikitiko makubwa sana kuhusiana na tovuti ya BRELA (msajili wa majina ya biashara). Hii website ki ukweli siyo user friendly. Ina complications kibao hadi inafika mahala mtu unaamua kuzima laptop nakuachana na zoezi la kusajili nakuanza kutafuta madalali wataomaliza hiyo kazi (ambao ki ukweli gharama zao nao si rafiki).

Naomba sana wahusika mfanye marekebisho yatakoyewezesha website yenu kusajili jina la kampuni isiwe kero.

Imagine taarifa zote kuanzia NIDA zimekuja automatically na bado umesajili visanduku vyote cha ajabu unaambiwa mara namba uliyoingiza si sahihi etc. Angalieni nchi nyingine kama Rwanda nk website zao ziko fasta na ni user friendly shida nn?
 
Naandika hili andiko kwa masikitiko makubwa sana kuhusiana na tovuti ya BRELA (msajili wa majina ya biashara). Hii website ki ukweli siyo user friendly. Ina complications kibao hadi inafika mahala mtu unaamua kuzima laptop nakuachana na zoezi la kusajili nakuanza kutafuta madalali wataomaliza hiyo kazi (ambao ki ukweli gharama zao nao si rafiki).

Naomba sana wahusika mfanye marekebisho yatakoyewezesha website yenu kusajili jina la kampuni isiwe kero.

Imagine taarifa zote kuanzia NIDA zimekuja automatically na bado umesajili visanduku vyote cha ajabu unaambiwa mara namba uliyoingiza si sahihi etc. Angalieni nchi nyingine kama Rwanda nk website zao ziko fasta na ni user friendly shida nn?
Pole kwa changamoto uliyokutana nayo, tunaomba tutumie taarifa ulizotumia kutengeneza akaunti yako kwa njia ya ujumbe (message) kwaajili ya msaada zaidi.
 
Naandika hili andiko kwa masikitiko makubwa sana kuhusiana na tovuti ya BRELA (msajili wa majina ya biashara). Hii website ki ukweli siyo user friendly. Ina complications kibao hadi inafika mahala mtu unaamua kuzima laptop nakuachana na zoezi la kusajili nakuanza kutafuta madalali wataomaliza hiyo kazi (ambao ki ukweli gharama zao nao si rafiki).

Naomba sana wahusika mfanye marekebisho yatakoyewezesha website yenu kusajili jina la kampuni isiwe kero.

Imagine taarifa zote kuanzia NIDA zimekuja automatically na bado umesajili visanduku vyote cha ajabu unaambiwa mara namba uliyoingiza si sahihi etc. Angalieni nchi nyingine kama Rwanda nk website zao ziko fasta na ni user friendly shida nn?
Mashirika ya serikali ni ya kipumbavu sana!
 
Habari, tunaomba kufahamu hatua ambayo umefikia na kukutana na changamoto katika mfumo wetu kwaajili ya msaada zaidi.
Kwa ujumls Mfumo wa usajiri BLERA haufai hata ku update ni shida ilifika mahali inakutaka mara ulipe arrears zote ili update nikaishia hapo
 
Kwa ujumls Mfumo wa usajiri BLERA haufai hata ku update ni shida ilifika mahali inakutaka mara ulipe arrears zote ili update nikaishia hapo
Habari, tunaomba namba ya ombi lako (tracking number) kwaajili ya msaada zaidi.
 
Wepesi ni upi kuirekebisha website ama kutatua kero ya kila anayeandika hapa?.Suala la kukuambia nimefikia wapi kwa Nini mjipe mzigo mzito.Ni suala la kuifanya website yenu iwe user friendly na kila Mtu Ajihidumie na afurahie huduma .Imagine ambao hawana pa kuandika kama hapa JF wanaishia wapi!?Go back to ur office baadaye rudini hapa mkijipiga kifua kwamba wazee tayari web Iko poa .. Tutashukuru

Habari, tunaomba kufahamu hatua ambayo umefikia na kukutana na changamoto katika mfumo wetu kwaajili ya msaada zaidi.
 
 
 
Habari, tunaomba kufahamu hatua ambayo umefikia na kukutana na changamoto katika mfumo wetu kwaajili ya msaada zaidi.
Igeni wenzenu wa TRA pamoja na mambo mengi wanayofanya website Yao ni user friendly..Well designed....Unachokitafuta unakipata hadi unafurahia huduma.Sasa kwa Kasi ya Dunia inakoenda Bado unapata malalamiko unaanza kuleta uswahili badala ya kurudi kama team make ofisini na ICT team muangalie wapi hamko sawa unaanza kuleta habari za kizamani eti umefikia hatua Gani, serious?Nawaza upo na mwekezaji mnatakiwa mjaze taarifa halafu shida ni tovuti,unashindwa hata ujibu nini.Niishie hapa msije mkasema nimetumwa kumbe ni raia mwema mwenye Nia njema ya kukosoa penye dosari ili tusonge kama Nchi...
 
Back
Top Bottom