Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wale ni ndugu zetu katika imaani, na ndio wafadhili wakuu wa mungu wa Darisalama Albert Bashite.je home shopping centre walikuwa wanalipa na kuingiza kodi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale ni ndugu zetu katika imaani, na ndio wafadhili wakuu wa mungu wa Darisalama Albert Bashite.je home shopping centre walikuwa wanalipa na kuingiza kodi?
Waulize TRA.je home shopping centre walikuwa wanalipa na kuingiza kodi?
Makampuni yanafungwa, mkiendelea kuamini yote yalikuwa ya wapiga dili ruksa endeleeni kuamini hivyo hamkatazwi kuchaguwa ujinga.
Nina kikampuni changu cha pembeni hiki pia nataka nikifunge kisheria msije kupiga takwimu batili za idadi ya makampuni, mengi yameshashindwa kufanya biashara.
si ilikuwa kampuni yenu? Anyway habari za Edmonton au calgiary?Waulize TRA.
Kuniuliza mie nani anayelipa na nani asiyelipa kodi ni upunguani wa hali ya juu.
si ilikuwa kampuni yenu? Anyway habari za Edmonton au calgiary?
bibie nicheck basi inbox tufahamiane vizuri ama nisubir hadi mwez mtukufu upiteKampuni yenu na nani?
Wrong number. Sijawahi kuwa na kampuni inayoitwa home shopping center. Nimewahi kuwa mteja wao kama ilivyo kwa Watanzania na wasio Watanzania wengi sana na wamenipa risiti inayoonesha makato ya VAT kihalali.
bibie nicheck basi inbox tufahamiane vizuri ama nisubir hadi mwez mtukufu upite
Sasa Katiba na Brela zinahusianaje. Brela na TRA ni ishu zinaitaji maswala ya Kibiashara zaidi tofauti na mawazo ya kisiasa zaidi. Ni jinsi ya kubadilisha mifumo ya utendaji wa kazi. Ni kama unavyoona TRA walibaridisha mifumo ya utendaji kazi kutoka katika analog kuja digitalOne man show..
Yeye anataka kufanya kila kitu yeye.
Mfumo umelifikisha taifa hapa.
Solution ni katiba ya warioba..
Umegusa penyeweje home shopping centre walikuwa wanalipa na kuingiza kodi?
Kiswahili chako mleta mada kinatia kinyaa.
Halafu wacha kudanganya, kusajili si chanzo kikubwa cha mapato mengi kama unavyotaka kuaminisha watu. Kusajili makampuni ni vijisenti tu. Lengo ni makampuni yafanye kazi yaingize kodi.
Sijuwi huu upuuzi huwa mnautoa wapi?
sio upuuzi mama,ni uharo..niwie radhi kwa kukutia kinyaa muda wa daku
uharamia,lazima watu wote wafanane na mawazo yenu,tofauti na hapo ni mnufaika?..eti!Wafaidika wa mifumo ya uharibifu hawawezi kufuraia vuguvugu la upingaji udharimu...Dawa ni kujirekebisha dhidi ya maisha ya wizi,ufisadi,uhalamia
Akili za kimaskini na Avatar ya mauti utazijua tuWacha kufukute mwisho wa Kuishi kiujanja ujanja