Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Sio mimi tu, kuna ndugu zangu kama wawili wamesajili kampuni kwa njia ya mtandao, mwingine ofisini aliniambia alisajili jina la biashara, hela amelipia lakini hawafanyii kazi baada ya malipo, ukikaa muda fulani wanakuletea email kwamba application yako imekuwa cancelled, na maana yake na hela uliyolipa wamekula.
Wataalamu tuambieni, kuna shida gani au waseme tu watu tuwe tunafunga safari tunaenda jengo la Ushirika tukafanye manual, tuachane na hizi digital twende analogy.
Inakwaza kuona hili ni Shirika la Serikali, wafanyakazi wake ni wa Serikali, wanakula mshahara wa kodi zetu halafu wanaleta uzembe (sitaki kuita ujinga nitakuwa nimetukana).
Wataalamu tuambieni, kuna shida gani au waseme tu watu tuwe tunafunga safari tunaenda jengo la Ushirika tukafanye manual, tuachane na hizi digital twende analogy.
Inakwaza kuona hili ni Shirika la Serikali, wafanyakazi wake ni wa Serikali, wanakula mshahara wa kodi zetu halafu wanaleta uzembe (sitaki kuita ujinga nitakuwa nimetukana).