supercharger GT
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,017
- 1,965
Hapo badili tu coil spark za hiyo gari kuna moja au mbili zimekufa hapo hizo ndio zinapelekea kucheleweaha uchomaji wa mafutaMsaada wakuu. Ni sehemu gani Dodoma naweza pata garage au mafundi wazuri wa hii gari? Maana nahisi kama mafundi wengi naowapelekea hii gari inawashinda. NB:ina tatizo kwenye kuwasha, ukipoga switch kuna muda inakataa but ukirudia kama mara 4 ndo inakubali, but wakati mwingine ni jino moja tu imewaka!!
Bendix hiyo mzee, badili bendix kwenye starter motorMsaada wakuu. Ni sehemu gani Dodoma naweza pata garage au mafundi wazuri wa hii gari? Maana nahisi kama mafundi wengi naowapelekea hii gari inawashinda. NB:ina tatizo kwenye kuwasha, ukipoga switch kuna muda inakataa but ukirudia kama mara 4 ndo inakubali, but wakati mwingine ni jino moja tu imewaka!!
Nakubaliana na huu ushauri wa kucheki starter motor kwanza.Bendix hiyo mzee, badili bendix kwenye starter motor
Yani nimejuta sana sahizi natakiwa niingie gharama ambazo hata hazikuwa zangu. Inauma sana!!! Gari inakula mafuta kama wazimu yani sijui wameichokonoa nini yani. Gari ikikaa silencer inaweza ikakausha litre 4 za ngwese yani nimechoka.Gari ikilala Kwa mafundi lazima waibe Tu hata Kwa waoshaji pia unatakiwa usimamie vinginevyo wanachoma Mpaka fuse na wanaweka za kwao mbovu
mkuu badala nisikitike mafundi kukosa uaminifu nacheka sana maneno yakoYani nimejuta sana sahizi natakiwa niingie gharama ambazo hata hazikuwa zangu. Inauma sana!!! Gari inakula mafuta kama wazimu yani sijui wameichokonoa nini yani. Gari ikikaa silencer inaweza ikakausha litre 4 za ngwese yani nimechoka.
Yani niliitoa gereji kwa hasira sababu ni upuuzi. Wameua kitasa mlango mmoja haufunguki nyuma, the next day nataka niichukue gari anasema boss gari haiwaki nafikiri itakuwa mafuta, nakwenda angalia nakuta ina pancha sijui hata imekuwaje kuwaje hio pancha. Nikampa hela ya mafuta pakikucha aweke kesho eti gari still haiwaki nikamwambia tu nikirudi jioni hio gari ikiwa haiwaki mjue tu kwamba mnaenda kulala polisi.mkuu badala nisikitike mafundi kukosa uaminifu nacheka sana maneno yako
Poleee aiseeeeYani niliitoa gereji kwa hasira sababu ni upuuzi. Wameua kitasa mlango mmoja haufunguki nyuma, the next day nataka niichukue gari anasema boss gari haiwaki nafikiri itakuwa mafuta, nakwenda angalia nakuta ina pancha sijui hata imekuwaje kuwaje hio pancha. Nikampa hela ya mafuta pakikucha aweke kesho eti gari still haiwaki nikamwambia tu nikirudi jioni hio gari ikiwa haiwaki mjue tu kwamba mnaenda kulala polisi.
Gari imekuja nzima gereji bila kusukumwa mnasemaje haiwaki?
Kurudi nikakuta inawaka madai eti pump ilikuwa chafu ila still tatizo la kuwaka halijatatulika. Tayari inachelewa kupokea meaning kuna kitu walifanya cha tofauti.
Angalieni starterMsaada wakuu. Ni sehemu gani Dodoma naweza pata garage au mafundi wazuri wa hii gari? Maana nahisi kama mafundi wengi naowapelekea hii gari inawashinda. NB:ina tatizo kwenye kuwasha, ukipoga switch kuna muda inakataa but ukirudia kama mara 4 ndo inakubali, but wakati mwingine ni jino moja tu imewaka!!
Thanks mkuuKizota kuna Gareji kibao nadhani nenda pale nduvini auto
Asante kwa highlight mkuuHapo badili tu coil spark za hiyo gari kuna moja au mbili zimekufa hapo hizo ndio zinapelekea kucheleweaha uchomaji wa mafuta
Hebu fuatilia coils mkuu, na pump ichekiwe na mtaalam. Mafundi wetu hawa wahuni sana najuta kuilaza gari pale.Hii inawezekana na mimi wamenicheza nini? Kwa sababu nalo hili tatizo limekuja siku mbili baada ya kuitoa garage fulani hivi ambako niliipeleka kubadilisha brake pads
Similiki brevis babu,kamanda na wewe unamiliki brevis nilijuaga we mjanja!
gari ya kikuda sana halafu inabugia wese kama jiniSimiliki brevis babu,
Hzo zina wenyewe wakina Mwagitogari ya kikuda sana halafu inabugia wese kama jini
Wala mbwa hawanaga taste!Hzo zina wenyewe wakina Mwagito
😂 Acha undezi kwahiyo tunao miliki Brevis makolo?kamanda na wewe unamiliki brevis nilijuaga we mjanja!