Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Ha ha ha very correctGharama iliyosalia utaimalizia gas station
Gari gani ambayo sio kimeo?Kimeo hicho chief. Huyo atakaenunua atajuta maisha yake yote
Yote ni maisha...ilimradi uhai na uzima...Anyway,. Mnaokaa kwa mashemeji zenu hamnaga stress
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....atupe ajira kwenye kampuni zake ili na sisi tuwe busy kama yeye...
Brevis Majanga
HongeraHaijafikia kuwa majanga, labda kwenye issue ya mafuta unaweza kuita hivyo. Au ndo wale mafundi wetu wa kupiga ramli washazichokonoa. Nimeitumia miaka minne imepata shida za kawaida kabisa. Na ilikuja ikiwa na zaidi ya km 100,000/=. Na bado inadunda
Hizo 2,000 kms ulizozidisha kwenye standard ya 3,000kms/ service ndo zimeua engine yako. Mafundi unampa hell ya kununua Castrol Oil anaweka Total au za kupima. Anaenda kumalizia nyumba yake chanika huko
Na hayo yanayokula mafuta wengine ndio hobby zetu,sa hivi naitamani machine 1 hio ni 3uz-fe cc 4300 V8 na ni sedan.Hizo zinakula wese ndipo uchawi ulipo so ukitaka kuuza lazma ushushe bei la sivyo ufunge nalo ndoa...
Gari zanye matumizi nafuu kama IST hazishuki bei kwa sana hata ukimua kuuza hadi leo unaweza uza IST namba C kwa milioni saba ila sio brevis au mark x utauza milion 4[emoji23]
Na hayo yanayokula mafuta wengine ndio hobby zetu,sa hivi naitamani machine 1 hio ni 3uz-fe cc 4300 V8 na ni sedan.
Naitamani Nissan fuga VQ35 au Nissan skyline VQ25... [emoji56][emoji56][emoji56]Na hayo yanayokula mafuta wengine ndio hobby zetu,sa hivi naitamani machine 1 hio ni 3uz-fe cc 4300 V8 na ni sedan.
Land Cruiser is the ugliest SUV in the market ikifuatiwa na zile za Marekani.BMW (SUV) zao zimekaa Kama box, finishing Yake ya kishamba Kama SUF. Hongera Nissan Patrol hata Land Cruiser
Land Cruiser is the ugliest SUV in the market ikifuatiwa na zile za Marekani.
Hahahahah huyu jamaa anaongea nini aisee??? Muulize anaijua Ford Raptor?Landcruiser ipi ambayo ni ugliest?
Hio Castrol nzuri kwa migari mikubwa kama mi Scania, mi Fuso and the like.Hiyo Castrol Bei kubwa (ukilinganisha na Engine Oil nyingine) imeniulia Engine eti 5,000 kms kumbe unaua engine.
Asante kwa experience Mkuu.Hio Castrol nzuri kwa migari mikubwa kama mi Scania, mi Fuso and the like.
Kwa gari ndogo mi natumia Total ila sasa nimeamua kujaribu Lake Oil pia.