Brevis, Mark X na Crown. Magari haya yana matatizo yeyote kiufundi

Brevis, Mark X na Crown. Magari haya yana matatizo yeyote kiufundi

J33

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
1,552
Reaction score
1,513
Nimeona watu wengi wana negativity na haya magari.

Naomba wataalam mtueleze kama magari haya yana shida ki UFUNDI.

Naona watu wengi wanayasema vibaya japo sijaona hata mmoja akiyaelezea ki UFUNDI zaidi ya kuongelea mafuta.
 
Nimeona watu wengi wana negativity na haya magari.
Naomba wataalam mtueleze kama magari haya yana shida ki UFUNDI.
Naona watu wengi wanayasema vibaya japo sijaona hata mmoja akiyaelezea ki UFUNDI zaidi ya kuongelea mafuta.
Brevis ndo hamna kitu kabisa
 
Nimeona watu wengi wana negativity na haya magari.

Naomba wataalam mtueleze kama magari haya yana shida ki UFUNDI.

Naona watu wengi wanayasema vibaya japo sijaona hata mmoja akiyaelezea ki UFUNDI zaidi ya kuongelea mafuta.
Wanaongelea vibaya kivipi? Hebu fafanua. Yangekuwa mabovu yangejaa mtaani? Na watu wananunua miaka na miaka.
 
Nimeona watu wengi wana negativity na haya magari.
Naomba wataalam mtueleze kama magari haya yana shida ki UFUNDI.
Naona watu wengi wanayasema vibaya japo sijaona hata mmoja akiyaelezea ki UFUNDI zaidi ya kuongelea mafuta.

Brevis za Bongo zina 1JZ-FSE kwa Ai250 na 2JZ-FSE kwa Ai300

Mark X kuna zenye 4GR-FSE na 3GR-FSE

Crown kuna zenye 4GR-FSE, 3GR-FSE na 2GR-FSE

Hizo engine nimekutajia hapo zote ni D4 engines.

Ni engine ambazo hazitaki ubabaishaji kuanzia kwenye Oil mafuta mpaka spares.

Hakuna D4 engine ambayo inaongelewa vizuri Tz.

Tukija upande wa pili hizo gari watu wengi wanalia wese.
 
Brevis za Bongo zina 1JZ-FSE kwa Ai250 na 2JZ-FSE kwa Ai300

Mark X kuna zenye 4GR-FSE na 3GR-FSE

Crown kuna zenye 4GR-FSE, 3GR-FSE na 2GR-FSE

Hizo engine nimekutajia hapo zote ni D4 engines.

Ni engine ambazo hazitaki ubabaishaji kuanzia kwenye Oil mafuta mpaka spares.

Hakuna D4 engine ambayo inaongelewa vizuri Tz.

Tukija upande wa pili hizo gari watu wengi wanalia wese.

Nimeshaandika mara kadhaa humu ndani. Nimekuwa na Brevis ya 250 kwa miaka kama minne hivi, tuchukua showroom ikiwa na km 110,000. Service kwa wakati, sijawahi pata tatizo la engine kugoma. Kuna siku tu ilizingua umeme ikawa fixed. Tukauza 6.5 baada ya 4 years. Zingatia service na na mafuta, utakaa nazo sana. The only downside labda ni fuel ukilinganisha na gari kama premio labda
 
Nimeshaandika mara kadhaa humu ndani. Nimekuwa na Brevis ya 250 kwa miaka kama minne hivi, tuchukua showroom ikiwa na km 110,000. Service kwa wakati, sijawahi pata tatizo la engine kugoma. Kuna siku tu ilizingua umeme ikawa fixed. Tukauza 6.5 baada ya 4 years. Zingatia service na na mafuta, utakaa nazo sana. The only downside labda ni fuel ukilinganisha na gari kama premio labda

Wala sipingani na wewe. Wenye good experience na hizo gari wapo wengi hata mimi nimeshakutana nao kadhaa na wengine nmeshawarekebishia matatizo yao.

Ila wenye bad experience wapo wengi zaidi na wengi ni sababu ya ujanja ujanja...
 
Wala sipingani na wewe. Wenye good experience na hizo gari wapo wengi hata mimi nimeshakutana nao kadhaa na wengine nmeshawarekebishia matatizo yao.

Ila wenye bad experience wapo wengi zaidi na wengi ni sababu ya ujanja ujanja...

Ndo ninachosema. Wengi wanaziponda sana lakini kwa kuwa hawazijui. Nikisema hawazijui siyo kwamba hawajawi kumiliki ila hawajui zinataka nini. Wapo wengi tu wana experience mbaya.
 
Ndo ninachosema. Wengi wanaziponda sana lakini kwa kuwa hawazijui. Nikisema hawazijui siyo kwamba hawajawi kumiliki ila hawajui zinataka nini. Wapo wengi tu wana experience mbaya.
Mimi ndio gari naenda kununua.
Tuelimishe hapa mambo ya kuzingatia walau
 
Nimeona watu wengi wana negativity na haya magari.

Naomba wataalam mtueleze kama magari haya yana shida ki UFUNDI.

Naona watu wengi wanayasema vibaya japo sijaona hata mmoja akiyaelezea ki UFUNDI zaidi ya kuongelea mafuta.
Negative minds walizonazo ni kwenye mafuta tu, hizo gari zina Offer a Good Stability, Comfortability and Speed. Hivyo vitatu vyote utavipata ktk Crown, hizo gari zina engine kubwa it's obvious ulaji wake wa mafuta hauwezi kulingana na IST, hizo gari hazitaki mafuta ya elfu kumi kumi. Alaf hii tabia ya kuponda ni kawaida ya wabongo wengi
 
Mimi ndio gari naenda kununua.
Tuelimishe hapa mambo ya kuzingatia walau

Service (zingatia recommended oil) na parts, jifunze kusimamia hizi service kuhakikisha inawekwa oil sahihi. Weka mafuta safi, naamini siku hizi vituo vingi vina mafuta mazuri. Usilee dalili za magonjwa ukaishia kusema gari ni kimeo. Usiwe na mafundi wapiga ramli (na hii ni kwa gari yoyote) Hata taa za alert zimewekwa ili zikustue kukiwa na shida kwenye gari
 
Nimeona watu wengi wana negativity na haya magari.

Naomba wataalam mtueleze kama magari haya yana shida ki UFUNDI.

Naona watu wengi wanayasema vibaya japo sijaona hata mmoja akiyaelezea ki UFUNDI zaidi ya kuongelea mafuta.
nachojua mimi ni ulaji wa wese apo karibia zote huwa n V6 cc 2400 kwenda juu( mostly)..

mengine ni kutokuzingatia service kwa wakati na utunzaji mbaya wa gari

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom