JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Kijana wa TZ na mshahara wake wa 700k anapata 4m kwenye mikopo au dilidili zake ananunua brevis mkononi hana ela ya kueleweka ya service wala spea halafu anakuja kutoa ushauri wa ubora na ubovu wa gari.Wala sipingani na wewe. Wenye good experience na hizo gari wapo wengi hata mimi nimeshakutana nao kadhaa na wengine nmeshawarekebishia matatizo yao.
Ila wenye bad experience wapo wengi zaidi na wengi ni sababu ya ujanja ujanja...