Car4Sale Brevis sokoni, inauzwaaa

Car4Sale Brevis sokoni, inauzwaaa

Hornet

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
26,486
Reaction score
51,156
Toyota Brevis namba D , ipo sokoni.
IMG-20161017-WA0009.jpg
IMG-20161017-WA0002.jpg
IMG-20161017-WA0007.jpg
Karibu ununue Toyota Brevis bado mpyaa..
kama inainavyoonekana kwenye picha. Bei ni 9million.
Gari ipo Dar es salaam.
Mawasiliano, 0755155782,
 
chuma kizuri sana na bei yako ipo fair,kila la kheri mkuu,nikimpata mteja najua sikosi ganji hapo,au vepee?
 
poa poa, ila nilikosea bei hapo juu.


mkuu bwana,yaani kwa kuwa,nimekusifia kuwa bei yako ni fair na gari ni nzuri unajifanya ulikosea kuiprice,we uza bei za kishow-room uje kupiga nalo picha hilo gari lako
 
Gari zuri ila naona utatu mtakatifu Wa daladala za Kariakoo, Ubungo na Kimara unanivuta mashati mpaka hapo nuru ya fedha itakaponichomozea
 
wala Vitz ndo ilikua 8m.
 
Back
Top Bottom