Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
BRICS imekua ni gumzo huko MAREKANI. Huku kukiwa na hofu ya MAREKANI kupoteza ushawishi Duniani.
Inatarajiwa nchi nyingi za Asia zinazo zalisha mafuta zimeomba kujiunga na BRICS. Pia nchi zote za Africa zikiongozwa na South Africa zitajiunga.
Marekani amepoteza ushawishi Saud Arabia. Na kufanya Dedollarisation kufanikiwa. Na huu ni mwanzo wa mwisho wa Petrodollar system. Sasa kinachofuata ni Gold dominance.
Ujio wa makamu wa Rais wa Marekani ni Mkakati wa kuzuwia au kudumaza kasi ya nchi za Afrika kujiunga na BRICS.
South Africa tayari wamejiunga.
Tanzania, Ghana na Zambia zina ushawishi wa kikanda katika maamuzi ya mambo magumu.
Japo haiwekwi wazi ni kwamba hii ziara inalenga kuongeza ushawishi Kwa nchi za Africa kutojiiunga na BRICS.
Inatarajiwa nchi nyingi za Asia zinazo zalisha mafuta zimeomba kujiunga na BRICS. Pia nchi zote za Africa zikiongozwa na South Africa zitajiunga.
Marekani amepoteza ushawishi Saud Arabia. Na kufanya Dedollarisation kufanikiwa. Na huu ni mwanzo wa mwisho wa Petrodollar system. Sasa kinachofuata ni Gold dominance.
Ujio wa makamu wa Rais wa Marekani ni Mkakati wa kuzuwia au kudumaza kasi ya nchi za Afrika kujiunga na BRICS.
South Africa tayari wamejiunga.
Tanzania, Ghana na Zambia zina ushawishi wa kikanda katika maamuzi ya mambo magumu.
Japo haiwekwi wazi ni kwamba hii ziara inalenga kuongeza ushawishi Kwa nchi za Africa kutojiiunga na BRICS.