Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Haha!, nyie wanaume ndo zenu hizi kumbe!
Afadhali yako umekuwa mkweli lakini, cos kuna wengine wanaweza kulaani hii lakini kimoyo moyo wanafurahia. [emoji2]
Tatizo yule mama mchungaji, inabidi umtafutie anayoonekana uso tu.Hahaha!, kwa kweli [emoji28] [emoji23] [emoji23]
Itabidi tu, maana nahisi kafanana na hawa models wa hapa [emoji2]
Hehehe hongera kwa msambwandaTeh!, hawa watu wakati mwingine akili zao sijui huwa zinawaza nini.
Akina sisi tuvae hivyo na tulivyo na misambwanda sijui kama kwenye harusi patakalika. [emoji50]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] mshindweeeTumvalishe hivyo Heaven Sent maana kalivyo kembamba hata hauwezi jua kamevaa au hakajavaa!!
Hahaha khaaaaTatizo yule mama mchungaji, inabidi umtafutie anayoonekana uso tu.
Sipati pichaaaaaaaHatuwezi kumvalisha kama Ninja mweupe 😀
Itabidi waumini wamsahau kidogo tu siku hiyo, atakapokuwa model in white wa nguvu..🙂
Kumbe umeliona eeh!! Mie niliona nikaamua kumute maana sio mwenzetu huyu!!Hehehe hongera kwa msambwanda
Tutaombewa!! Shaurilo.Hatuwezi kumvalisha kama Ninja mweupe 😀
Itabidi waumini wamsahau kidogo tu siku hiyo, atakapokuwa model in white wa nguvu..🙂
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Hizo fupi bongo hazifai kwasababu wanawake wa huku wote wanaolewa wakiwa na mimba ya miezi 8
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Shauri yako, utashangaa na roho yako utakapokuwa tayari kanisani na kushangaa umeshavaa na umefikaje fikaje...lol!
Kumbe umeliona eeh!! Mie niliona nikaamua kumute maana sio mwenzetu huyu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tutamteka.