Brigedi za Al-Qassam ziliamua kukabidhi miili ya mateka wanne wa Kizayuni usiku wa kuamkia leo

Heshima kwako kaka yangu Ritz nakukubali sana. Nje ya mada bro naomba kukuuliza kwasababu wewe ni mjuvi wa kila kitu. Je mkuu ukiondoa kutapika je unaweza kuitoa nyongo kwa kunya?

Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.

Nyau de adriz
Mimi pia siyo mjuvi nipo hapq jamvini kuleta habari zinazojiri Gaza maana wadau hawawezi kuzipata CNN, BBC, Fox News.

Mfano hii

View: https://x.com/smohyeddin/status/1894953622238290415?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Saleh Al-Hams, Mkurugenzi wa Uuguzi katika Hospitali ya Gaza European, anaripoti kwamba alfajiri ya leo, wafungwa 456 walioachiliwa huru waliwasili katika Hospitali ya Gaza European, kati yao walikuwa wafanyikazi 15 wa matibabu.

Wengi wa wafungwa walioachiliwa wako katika hali mbaya ya kudhoofika, na wengine hawawezi kutembea kutokana na vipigo na mateso ya kikatili waliyokuwa wakipata. Wengi wao wanakabiliwa na magonjwa ya ngozi, na mmoja amelazwa hospitalini mara moja kutokana na uvimbe wa mapafu.

Wafungwa hao pia walipata vipigo vikali vilivyolenga sehemu ya kifua, na kusababisha kuvunjika mbavu. Zaidi ya hayo, mfungwa mmoja alikatwa mkono, huku mwingine akipoteza mguu kutokana na ugonjwa wa kisukari na ukosefu wa huduma za matibabu. Wakati huo huo, dawa za upele zilitolewa kwa wafungwa wote walioachiliwa ili kushughulikia maambukizo yaliyoenea.


View: https://x.com/qudsnen/status/1895040800381194588?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Kuna mapunguani yanasema Israel taifa la mungu.
Mateso ya Israel : Madhara ya mateso ya kikatili kwa mfungwa aliyekombolewa Mohamed Abu Tawil, ambaye alikamatwa na wanajeshi mwaka mmoja uliopita huko Gaza, ambapo uso na mwili wake ulichomwa kwa kemikali, hali iliyomfanya apoteze uwezo wa kuona katika jicho lake la kushoto na kumsababishia madhara makubwa kimwili na kisaikolojia.


View: https://x.com/me_observer_/status/1894846072020967848?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 

View: https://youtube.com/shorts/j3PjJ6nhQGo?si=lI1AdaVxAHZNsh8O
 
Wawapokeee tu wakumbukr wakishamaliza wotee

Kitakachofwataa kinafurahishaa sana
 
Ustaadh kunyetiii upo
 
Sisi wamatumbi macho yetu yapo Congo ya huko mashariki ya hao waarabu waache wauwane tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…