Brigedi za Al-Qassam ziliamua kukabidhi miili ya mateka wanne wa Kizayuni usiku wa kuamkia leo

Mizayuni kitabiya Sawa na Walokole wenye kupiga kelele kwenye vituo vya Daladala lkn Sio Wagomvi Tunashukulu kwa ili Walokole wote!!!!

Tofaut Sasa Zayuni Akili imejikita kwenye Ugomvi Ataki kuona CRISTIAN wapo kwenye Ibada wala Kwenye Matembezi Yao vile Anajua Wao ndio Kila kitu Atapata Usaidizi Achelewi kukuvamia kukuanzishia Timbwili !!!!

Wakija Polisi Anajua Watakuwa Upande Wake CRISTIAN Wanateseka sana zaid ya Muislam Tatizo la waislam kwao kupigania haki yao ya Ardhi lkn Kidini Awana Shida nao

Mzozo uko Zayuni na CRISTIAN iyo picha Juu Zayuni Anamtemea makoozi CRISTIAN na Awana cha Kufanya Zaid ya kuepusha Ugomvi Zaid!!!

Kuna Matukio inabidi Waislam Wawasaidie CRISTIAN Tukisema Zayunj Ni Migaidi mlokole unakuja kuwatetea ETI Sisi tunafanya propaganda pamoja na Ukweli Wote upo kwenye Macho yako!!!!

uko KIDUDWE MBEYA unatetea Zayuni Wachungaji nao Wapo biz kuwatumia Zayuni kuwapiga Sadaka Waumini wao!!!

ETI Ukiwabariki nao Wanakubariki ndio uko kuwatemea MAKOOZI Kweli Wenzetu MUMEBARIKIWA sana Sisi Wivu Tu unatusumbua!!!

! Mizwazwa mzigo kwa Taifa !!!!!!! MZUNGU alishamdhidi Akili mtu Mweusi miaka mingi uko nyuma pale Alipojifananisha na mungu!!
😛😛😛
 
Nijuavyo mimi waislamu wana uadui na Wakristo kwa sababu hawafichi kitu wanawaambia ukweli wao. Pili hawawapendi Wayahudi kwa sababu kila wanapotaka kuwaangamiza wao ndiyo wanapigwa kwa ujumla hakuna vita waliyoianzisha waarabu dhidi ya Israel na wakashinda na Tatu wana uadui dhidi ya nchi za Magharibi kwa sababu zilishakataa kuwaunga mkono kwenye Ugaidi wao huko mashariki ya kati na ulimwenguni kwa ujumla. Na ndiyo maana wewe midomoni mwako huachi kuwaongelea watu hawa watatu, walokole,wayahudi na nchi za Magharibi hata dunia haishangai kuona chuki zenu dhidi ya watu hao maana ni kawaida ya waislamu kuwachukia hasa watu wanaowapinga imani yao potofu!!!
 
Huu uharo kuna mtu ana muda wa kusoma kweli.
 
Huu uharo kuna mtu ana muda wa kusoma kweli.
Hicho ndicho kinawafanya muwe na hasira na matusi kibao kwa watu wanaowapinga!! Na mlivyo na roho mbaya mko tayari hata kuua mtu
 
Hicho ndicho kinawafanya muwe na hasira na matusi kibao kwa watu wanaowapinga!! Na mlivyo na roho mbaya mko tayari hata kuua mtu
Hata hueleweki unataka kusema nini.
 
Huu uharo kuna mtu ana muda wa kusoma kweli.
Uyu jamaa majibu yake ayaeleweki kabisa mfano Adai Mwarabu anataka kumuangamiza !!! Zayuni au Muisrael !!!

UKWELI Mwarabu Akuwa na shida yoyote na uyu zayuni lkn ni Zayuni ndio Wanaangaika Kuwafuta WARAABU na nchi yao ya Palestina !!!!


ZAYUNI atoke uko na uko Kuja kuwauwa WARAABU lkn apo apo Jamaa anasema Mwarabu ndio anataka kuwaangamiza Waisrael sio Israel ndio Inataka kuiyangamiza Palestina!!!!

juzi mbele za MEDIA za ulimwengu TRAMP PUTO kaweka Wazi anataka kuuchukua mji wa WARAABU !!!

lkn uyu mlokole wa Diombo!! Bado anafanya propaganda ETI mwarabu ndio anataka kumuangamiza Zayuni !!!!¿¿¿

ktk Ali hii ya Sasa ata Aibu ana au japo kuwaeshimu Walokole Wenzie Wanaosoma Ushuzi wake.!!!! Wache Ukwel
 
Einav Tsengauker, mama wa mateka wa Israel Mayan Sheli, anatoa maoni yake juu ya uamuzi wa Netanyahu wa kusitisha msaada wa kuingia Gaza. Alisema kuwa Netanyahu anafanya kinyume na maslahi ya Israel na mapenzi ya Israel, na kumtoa dhabihu mwanawe na mateka wengine kwa ajili ya kujinusuru kisiasa.

Alikashifu sera yake ya kuhujumu mpango huo, akisema badala ya kufanya mazungumzo ya kuachiliwa kwa mateka wote, alikwama, akavunja ahadi zake. Alirejesha kuwa ni wazi kwamba Netanyahu anatanguliza maisha ya serikali yake kuliko maisha ya mateka ambao waliachwa chini ya uongozi wake.


View: https://x.com/qudsnen/status/1896223402568081576?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…