Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,138
Haya ndiyo mambo tunayotaka kuona. Baadae tumtoe nyumbu pale alipoFIVE STAR ALBION!!! ⭐⭐⭐⭐⭐
View attachment 2908109
Man U na Chelsea tunawapasuaAseee mna mechi zote fainali😂😂
View attachment 2973212
Ukipasua mtu leo sawaaMan U na Chelsea tunawapasua
Umekumbuka chama lako jipya? 😄😄Chama linanihitaji. ALBIOOOOON!!!
Sina MB za kucheki hyo video.. unamaanisha aiaha masaka au?
Wow! Very nice lkn naona kama katoka tumu kubwa ile sweden na albion ni wadogo..Ndiyo, Aisha Masaka.
Häcken (W) kwenye UEFA rankings wapo #12 na wanafanya vizuri domestically, wanapata mpaka nafasi ya kushiriki Champions League ila ligi yao siyo bora ukilinganisha na Barclays Women's Super League. Mfano: Man United (W) kwenye UEFA rankings wapo #32 na hawajawahi kufika group stage, mara ya mwisho walifungwa na PSG ila bado wana timu nzuri kushinda Häcken (W). Hivyo, japokuwa Brighton (W) hawafanyi vizuri kwenye ligi ila WSL ina ushindani zaidi na imeanza kupata watazamaji wengi baada ya vilabu vingi kufanya uwekezaji ili ku-challenge vilabu vya Spain, Germany na France kwenye Champions League. Kwa marketing WSL itamfaa zaidi akifanya vizuri anaweza kupata timu nzuri zaidi.Wow! Very nice lkn naona kama katoka tumu kubwa ile sweden na albion ni wadogo..
Nitakuwa sahihi?
Ahsante kwa ufafanuzi.Häcken (W) kwenye UEFA rankings wapo #12 na wanafanya vizuri domestically, wanapata mpaka nafasi ya kushiriki Champions League ila ligi yao siyo bora ukilinganisha na Barclays Women's Super League. Mfano: Man United (W) kwenye UEFA rankings wapo #32 na hawajawahi kufika group stage, mara ya mwisho walifungwa na PSG ila bado wana timu nzuri kushinda Häcken (W). Hivyo, japokuwa Brighton (W) hawafanyi vizuri kwenye ligi ila WSL ina ushindani zaidi na imeanza kupata watazamaji wengi baada ya vilabu vingi kufanya uwekezaji ili ku-challenge vilabu vya Spain, Germany na France kwenye Champions League. Kwa marketing WSL itamfaa zaidi akifanya vizuri anaweza kupata timu nzuri zaidi.