mkuu bado una hasira na huyu siti au kwa sababu hela hajarudisha zote nini???Badala ya kusema hutaki maswali sema mimi kaka yake Sitti mtenvu tutakuelewa
naunga mkono hoja mi siku hizi naangalia mkasi tuu na asubuhi mara chach nikikuta nyimbo za ulaya za zamani na kipindi cha ujenzi siku moja moja zembwela uswazi
kwa hapa bongo sasa hivi naangalia sana tv one
umeona ee full kuigana huwa nafikiri hawajifunzi kwa MTV nilitegemea EATV walete tuzo zao wenyewe kwa kipindi walichodumu.Kuna watangazaji wamekaa kimiyeyusho sana na lugha yao ya kiadamu mchovu!
Yaani TV station sasa hivi zinaboa hatari...hiyo tv1 hata siikubali kihiivyo[/QUOT]Mi bora niangalie vipindi kama Catfish, disaster date, the ex and why na my super sweet 16 kwenye MTV kuliko hizi stesheni za kibongo
naunga mkono hoja mi siku hizi naangalia mkasi tuu na asubuhi mara chach nikikuta nyimbo za ulaya za zamani na kipindi cha ujenzi siku moja moja zembwela uswazi
kwa hapa bongo sasa hivi naangalia sana tv one
Yaani TV station sasa hivi zinaboa hatari...hiyo tv1 hata siikubali kihiivyo[/QUOT]Mi bora niangalie vipindi kama Catfish, disaster date, the ex and why na my super sweet 16 kwenye MTV kuliko hizi stesheni za kibongo
Ni bora kidoooogo niangalie clouds wanajitahidi kiukweli...
Ila siwezi kuangalia channel 1 kutwa nzima hamna iliyonivutia mpaka sasa
umeona ee full kuigana huwa nafikiri hawajifunzi kwa MTV nilitegemea EATV walete tuzo zao wenyewe kwa kipindi walichodumu.
Me too haichoshi ....
Yaani TV station sasa hivi zinaboa hatari...hiyo tv1 hata siikubali kihiivyo
Badala ya kusema hutaki maswali sema mimi kaka yake Sitti mtenvu tutakuelewa
umeona ee full kuigana huwa nafikiri hawajifunzi kwa MTV nilitegemea EATV walete tuzo zao wenyewe kwa kipindi walichodumu.
Kuna madem wakiwa kwenye position hawashauriki! Wao wanajua kila kitu! Uzuri wako jf tangu 2007 ujumbe wataupata! Staki maswali pia sijajiandaa! Haha