Bring back our Currymastorytz!!

Bring back our Currymastorytz!!

Umbea sio mzuri, kaharibu maisha ya watu wa ngapi hadi hapo? Halafu haya masuala ya kujiteka ili kutafuta umaarufu yameshapitwa na wakati.
 
Mjinga sana huyu. Wenzake wanafanya umbea wanatumia fake account. Yeye anajiamini vipi kufanya umbea kwa verified ID?
Sasa dili za matangazo si lazima tu ujulikane..maana anapata matangazo adi kwenye makampuni makubwa.. Sasa ataandika mkataba kwa kutumia fake Id?

Wambea wengi wanao ingiza pesa instagram wanajulikana... Hawa wanautumia fake id ni matapeli
 
Back
Top Bottom