Bro wangu anatafuta kazi

mramba

Member
Joined
Jul 23, 2009
Posts
30
Reaction score
2
kaka yangu amemaliza kidato cha nne, umri wa miaka 27 ni fundi mekanika amefanya mitihani ya VETA Motorvehicle mechanics grade two, na autodriving grade two also.Anaishi mkoani kilimanjaro na anaweza kwenda mkoa wowote kulingana na makubaliano na mwajiri wake.
 
mshauri ajaribu kuapply kwenye makampuni ya utalii, hiki ni kipindi kizuri
 
Mkuu si umpige jeki ajiajiri mwenyewe?
 
Dah! kachelewa kidogo coz TANESCO walikua wametangaza nafasi nyingi zikiwepo hizo za Mechanics -VETA. na mwisho wa kutuma maombi ilikua jana j5. ila tupo pa1 kama zikitokea nafasi nyingine tutaambiana.
 
Mwambie asome sana magazeti na apeleke CV kwenye recruitment agencies
 
Asomee udereva wa kuendesha viongozi Chuo Cha Usafirishaji ama VETA ili ajiweke vyema katika kupata nafasi za ajira ukizingatia ni fundi. Hujasema kama anauzoefu na fani hiyo wa muda gani ama ni fresh from school.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…