Bro wangu kamegewa wife wake na house boy

Bro wangu kamegewa wife wake na house boy

Hii ni aibu kubwa sana. Kitendo cha huyo shem wako kuzini na HB mpaka anashika mimba ni kosa kubwa sana mbele ya jamii na mbele ya Mungu pia. Lakini pia inaonyesha huyu mama hakuwa na mapenzi na mumewe na amekuwa alifanya hili tendo kwa muda mrefu na kunogewa, ndio maana hata akathubutu kukubali na kuthibitisha kwamba ujauzito ni wa HB, kwa maana nyingine ni kwamba amejiandaa kwa lolote. It is sad...

Ngoja niingie kwenye maombi ili roho wa Mungu aniongoze katika hili... will be back...
 
mmm! hiyo kali ya kusikitisha sana. inafundisha kuwa huyo bibie hakuwa akitimiziwa ile roho inapenda.
 
Hii ni aibu kubwa sana. Kitendo cha huyo shem wako kuzini na HB mpaka anashika mimba ni kosa kubwa sana mbele ya jamii na mbele ya Mungu pia. Lakini pia inaonyesha huyu mama hakuwa na mapenzi na mumewe na amekuwa alifanya hili tendo kwa muda mrefu na kunogewa, ndio maana hata akathubutu kukubali na kuthibitisha kwamba ujauzito ni wa HB, kwa maana nyingine ni kwamba amejiandaa kwa lolote. It is sad...

Ngoja niingie kwenye maombi ili roho wa Mungu aniongoze katika hili... will be back...

Wenzangu hii kesi ingekuwa ni mke amekwenda biashara kamwacha mume wake na housegal
kwa muda kisha yule housegal mwisho wake akapata mimba ya yule bwana tungekuwa
tunamlaumu nani? Si yule bibi kwa kumwacha bwana akiwa na njaa halafu anamwachia
chakula pale karibu aki expect yule bwana hata onja? Sisi binadamu mili ikishazoea haya mambo
tukikosa ni rahisi tuende kwa source iliyo karibu.Pole but this is the harsh reality.Wengi sana
wanafanya hivi ila sio wnegi wanaokiri dhambi zao.

Infact huyu mama ni mtu mkweli na anasikia aibu ya aliyo yafanya tena anaona amepoteza njia
inayofaa.Kuna reporti iliyo tokea juzi ati 61% of children being raised are not from their father.Kwa
hivyo alipoteleza huyu mama nikuconfess otherwise wengi sana wanazaa na wanaume wainje.
Huyu bwana alifanya makosa kuandika houseboy kama alfahamu huwa ankwenda away on
business.Hii ni kumwingiza mkewe kwa majaribu.
 
umefika mbali sana mpendwa. kwa nini unamzuia memba mwenzako asikuquote na wewe unajizuia kumquote? nafikiri humtendei haki. hii ni forum ya wote na sioni sababu ya estrictions. jitahidi kuvumilia mawazo ya wenzako, otherwize naamini utapata shida sna kwani kuacha kukuquote, naamini hataacha. labda wewe uache na ama ujitoe JF!

pia unleta contradictions kuwa hukuja kutengeneza marafiki wala maadui. so napata shida kama ujumbe wako huu wa hii post una lengo gani? nafikiri unaweza kujenga uadui kati yako na mlendwa AK. ni ushauri tu

mbona ize to understand???sikuja kutafuta marafiki...as watu wa kufatiliana kiundani,niko hapa kupost jambo...sihitaji kumjua mtu yeyote yule,na sipendi pia mtu anijue.....
--obviously we dont get along na huyo kaka,kivipi nitakuwa simtendei haki nikimwambia...asiniquote???wema wa mshumaa sinao mie...ni bora nifanye hivyo kuliko nimwache aandike jambo litalonikwaza...

lastly,dont make a big deal out of this,mwenyewe nadhani kanielewa naamaanisha nini...!
 
Wenzangu hii kesi ingekuwa ni mke amekwenda biashara kamwacha mume wake na housegal
kwa muda kisha yule housegal mwisho wake akapata mimba ya yule bwana tungekuwa
tunamlaumu nani? Si yule bibi kwa kumwacha bwana akiwa na njaa halafu anamwachia
chakula pale karibu aki expect yule bwana hata onja? Sisi binadamu mili ikishazoea haya mambo
tukikosa ni rahisi tuende kwa source iliyo karibu.Pole but this is the harsh reality.Wengi sana
wanafanya hivi ila sio wnegi wanaokiri dhambi zao.

Infact huyu mama ni mtu mkweli na anasikia aibu ya aliyo yafanya tena anaona amepoteza njia
inayofaa.Kuna reporti iliyo tokea juzi ati 61% of children being raised are not from their father.Kwa
hivyo alipoteleza huyu mama nikuconfess otherwise wengi sana wanazaa na wanaume wainje.
Huyu bwana alifanya makosa kuandika houseboy kama alfahamu huwa ankwenda away on
business.Hii ni kumwingiza mkewe kwa majaribu.

kama ni kweli hio ni balaa...

nini sababu sasa??mmomonyoko wa maadili au?
 
dah, ilikuwaje kaka yako akastukia na inshu ikabumbuluka?
 
Utaratibu si unajulikana kwa kesi kama hizi wakulu....hapo mtu achape lapa tu
 
Swali la kubwa la kujiuliza Bro amechangia kiasi gani katika kumegewa mke wake, manake kama mtu anataka haki yake unaanza kumwambia habari za biashara, definetly utamsukuma kwa HB tu. Tuangalia sana jinsi tunavyotimiza wajibu wetu kama waume za watu kwa namna zote likiwemo la support, mahaba, mahusiano na ushirikishwaji
 
Back
Top Bottom