mbona ize to understand???sikuja kutafuta marafiki...as watu wa kufatiliana kiundani,niko hapa kupost jambo...sihitaji kumjua mtu yeyote yule,na sipendi pia mtu anijue.....
--obviously we dont get along na huyo kaka,kivipi nitakuwa simtendei haki nikimwambia...asiniquote???wema wa mshumaa sinao mie...ni bora nifanye hivyo kuliko nimwache aandike jambo litalonikwaza...
lastly,dont make a big deal out of this,mwenyewe nadhani kanielewa naamaanisha nini...!
Mkuu PJ hii ishu ni kweli imetokea na ni bro wangu kweli anafanya biashara.
Ni mke wake wa ndoa kabisaaa na amesha mzalia mtoto 1 hii mimba ni atakuwa mtoto wa 2. Sasa ni wa huyo house boy.
Nahisi kama nakujua kwa walau 85% Roselyne....
...umeniogopesha!...LOL
...uchune basi?,mie naogopa mtu akikujua humu unakuwa si huru kihivyooo...
hapa leo sichangii live, nitapitia jioni MARANGU Bar mpwazz tutete kwa herufi kubwa., hili sio suala dogo.
ningekua mie hapo huyo bwamdogo ningemfanyia kitu mbaya ahame nchi, u know wat i mean??, hahahaaaaa, sio unakula tu vya watu na chako lazima KILIWE.
wala usiogope..kuwa huru na ujiachie tu....mi naangalia kwa karibu
Wadau nimepata taarifa hivi punde kutoka kwa bro. ameniambia house boy kammegea wife wake.
Bro yupo njia panda anashindwa afanyeje!
Mkuu PJ hii ishu ni kweli imetokea na ni bro wangu kweli anafanya biashara.
Ni mke wake wa ndoa kabisaaa na amesha mzalia mtoto 1 hii mimba ni atakuwa mtoto wa 2. Sasa ni wa huyo house boy.