joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Hahahaha, mjue sasa umuhimu wa kuwa na "real active GDP" na "fake theoretical GDP"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo Governor huyuhuyu anatoa mkono wa kushoto kwa GoK huku anapokea mkono wa kulia toka WB!CBK releases Sh7.4bn to support fight against Coronavirus Β» Capital NewsView attachment 1398712Hii itakuwa pesa ya kuwalipa wakulima wa Korosho au mbeberu deni lake?
Hahahaha, unasifia kuongeza mzigo wa madeni na kuongeza mzigo wa kodi kwa wananchi ambao tayari wameelemewa na madeni kwamba ni jambo la kushujaa kulifanya mapema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la Kenya ni moja, hamuwezi kujisogeza hata hatua moja, yaani from day one ninyi mnahitaji msaada, huo uchumi wenu mkubwa upo wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
'Fake theoretical Gdp' ina maana kuwa world bank ni wajinga sana ila wewe ni genius hata kushinda EinsteinHahahaha, mjue sasa umuhimu wa kuwa na "real active GDP" na "fake theoretical GDP"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la kukopa Sana halijaanza leo, IMF imekua ikiwapigia kelele mara kwa mara kutokana na hilo tatizo, inamaana uchumi wenu unategemea kukopa bila kukopa uchumi wenu unacollape?.Heri huo mzigo wa madeni kuliko collapsed economy,I support what government is doing to caution our economy ,at the moment no tourism,no exportation most of the sectors have shut down and the only thing government can do is to try and sustain those sectors,.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na world bank nani mjinga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha, mjue sasa umuhimu wa kuwa na "real active GDP" na "fake theoretical GDP"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja umuone akichange gear, atruka kutoka mwananyamala hadi tandale kisa hataki kuukubali ukwelCBK releases Sh7.4bn to support fight against Coronavirus Β» Capital NewsView attachment 1398712Hii itakuwa pesa ya kuwalipa wakulima wa Korosho au mbeberu deni lake?
Vipi mnakopa tena kwa ajili ya kupambana na Corona Kama mumeshatoa?, au hizo mnazokopa zitaingia mifukoni mwa wajanja kama kawaida yenu?Ngoja umuone akichange gear, atruka kutoka mwananyamala hadi tandale kisa hataki kuukubali ukwel
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio tutakopaVipi mnakopa tena kwa ajili ya kupambana na Corona Kama mumeshatoa?, au hizo mnazokopa zitaingia mifukoni mwa wajanja kama kawaida yenu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unajichanganya?Broke Kenya now turns to donors for Sh122b : The Standard
Kenya hamjitegemei kabisa, kawaida ni vizuri nchi kuanza kwa kutumia pesa ya ndani kwanza hadi hali inapokuzidia ndio unaomba msaada, kwa kufanya hivyo ndio unaheshimika duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππ Kakimbilie Mod
IQ kama nzige. Ashakum si matusi ila tofauti ya huyu jamaa na ng'ombe ni pembe.Mbona unajichanganya?
Kama ilivyo tofauti kati ya mama yako na baba yako ni ub**oo tuIQ kama nzige. Ashakum si matusi ila tofauti ya huyu jamaa na ng'ombe ni pembe.
Usituletee stress za LDC
Dogo una sifa za kijinga kama uvccmBroke Kenya now turns to donors for Sh122b : The Standard
Majirani wenye GDP ya kwenye makaratasi sasa hii ni aibu, yaani wao kila tatizo kwao wanalitumia kama fursa ya kuombaomba.
Hili tatizo la Corona ndio kwanza limeanza bado halijachanganya, tayari wanakopa pesa, je ilifikisha miezi miwili au mitatu na nchi ikiwa na Wagonjwa zaidi ya 1,000 mtafanyaje?.
Kenya hamjitegemei kabisa, kawaida ni vizuri nchi kuanza kwa kutumia pesa ya ndani kwanza hadi hali inapokuzidia ndio unaomba msaada, kwa kufanya hivyo ndio unaheshimika duniani.
Tanzania huwa tunaanza wenyewe kwa nguvu zetu, kama ni mikopo au misaada inakuja kutukuta mbele kwa mbele, tena pale tunapoona kuna umuhimu wa kuomba msaada au kuomba mkopo. Hii tabia yenu ya kuchukua mikopo hata kwa mambo ambayo mnayaweza, mnapoteza heshima yenu na nchi mnazidi kuiweka pabaya kwa madeni. Poleni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muambie huyo pacha wako, kama amechoka kujenga hoja, arudi Kibera.Usituletee stress za LDC
I swear, talking to you is like talking to a really good-looking and mildly stupid brick wall... Feelings za nini Mkuu ama akaunti buku saba hawajakuwekea?
Jenga heshima, unapaswa kujenga hoja bila kuingiza matusi au kumdhalilisha mtu.I swear, talking to you is like talking to a really good-looking and mildly stupid brick wall... Feelings za nini Mkuu ama akaunti buku saba hawajakuwekea?