Broke Kenya turns to donors for $1.22B to support it's war against Corona

Broke Kenya turns to donors for $1.22B to support it's war against Corona

Hata matajiri huwa broke. Unaweza kuwa na majumba mengi tu na magari mengi tu ila ukakosa cash. Hivyo unaweza kopa pesa kwa benki ili upate cash ya haraka. Unaweza kosa cash mfukoni lakini hio haina maana kuwa wewe ni masikini. Kuuza gari au shamba inachukua miezi hata miaka. Masikini akisema ako broke ina maana kuwa hana lolote ila tajiri akisema ako broke hiyo ina maana tofauti sana
joto la jiwe
 
Heri huo mzigo wa madeni kuliko collapsed economy,I support what government is doing to caution our economy ,at the moment no tourism,no exportation most of the sectors have shut down and the only thing government can do is to try and sustain those sectors,.
Hahahaha, unasifia kuongeza mzigo wa madeni na kuongeza mzigo wa kodi kwa wananchi ambao tayari wameelemewa na madeni kwamba ni jambo la kushujaa kulifanya mapema?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la Kenya ni moja, hamuwezi kujisogeza hata hatua moja, yaani from day one ninyi mnahitaji msaada, huo uchumi wenu mkubwa upo wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, mjue sasa umuhimu wa kuwa na "real active GDP" na "fake theoretical GDP"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
'Fake theoretical Gdp' ina maana kuwa world bank ni wajinga sana ila wewe ni genius hata kushinda Einstein
 
Heri huo mzigo wa madeni kuliko collapsed economy,I support what government is doing to caution our economy ,at the moment no tourism,no exportation most of the sectors have shut down and the only thing government can do is to try and sustain those sectors,.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la kukopa Sana halijaanza leo, IMF imekua ikiwapigia kelele mara kwa mara kutokana na hilo tatizo, inamaana uchumi wenu unategemea kukopa bila kukopa uchumi wenu unacollape?.

Sasa kwa taarifa yako, ulipaji wa madeni ndio chanzo cha uchumi kusambaratika, kama hii pesa mtakayotumia kupambana na Corona, hii ni " recurrent expenditure", sasa kama mnakopa kwa ajili ya matumizi ya kawaida sio "investment" unategemea kurudishaje kama sio kuongeza mzigo ktk uchumi wenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi mnakopa tena kwa ajili ya kupambana na Corona Kama mumeshatoa?, au hizo mnazokopa zitaingia mifukoni mwa wajanja kama kawaida yenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio tutakopa
tapatalk_1585140072149.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Broke Kenya now turns to donors for Sh122b : The Standard
Majirani wenye GDP ya kwenye makaratasi sasa hii ni aibu, yaani wao kila tatizo kwao wanalitumia kama fursa ya kuombaomba.

Hili tatizo la Corona ndio kwanza limeanza bado halijachanganya, tayari wanakopa pesa, je ilifikisha miezi miwili au mitatu na nchi ikiwa na Wagonjwa zaidi ya 1,000 mtafanyaje?.

Kenya hamjitegemei kabisa, kawaida ni vizuri nchi kuanza kwa kutumia pesa ya ndani kwanza hadi hali inapokuzidia ndio unaomba msaada, kwa kufanya hivyo ndio unaheshimika duniani.

Tanzania huwa tunaanza wenyewe kwa nguvu zetu, kama ni mikopo au misaada inakuja kutukuta mbele kwa mbele, tena pale tunapoona kuna umuhimu wa kuomba msaada au kuomba mkopo. Hii tabia yenu ya kuchukua mikopo hata kwa mambo ambayo mnayaweza, mnapoteza heshima yenu na nchi mnazidi kuiweka pabaya kwa madeni. Poleni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo una sifa za kijinga kama uvccm
 
Back
Top Bottom