Entrepreneur
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 1,087
- 622
We mjasiriamali omba mods wapeleke hii thread mmu. Mchango wangu utaukuta kule.
Wow thanks H. Mods niokoe nimepotea njia. Peleka hii kitu Mahusiano
When you've just gone through a breakup, there's a period of adjustment... especially if you've spent great amounts of time with that departed partner. How many of you have experienced this? And.... what things did you do to counteract the feeling of loneliness? What suggestions do you have for those going through this difficult time?
...Pole sana soma ushauri wa Mkuu Mbu utakusaidia sana katika kukivuka kipindi hiki kigumu kwako.
....hey,
Grieving period ni muhimu, lakini usi exaggerate mpaka ukasahau kula, kulala, kwenda kazini
kuendelea kuvaa vizuri na kujipenda kisa umeachwa! ...KUMBUKA blessings nyingine ulizojaaliwa...
....kumbuka, sio dhambi wala aibu hivyo unavyojisikia, dhambi na aibu ni jinsi utavyo react negatively!
chunga mdomo wako na unachosema kuhusu mwenzako,....kuachana sio uadui, lakini using'ang'anie urafiki naye!
Wenzako tulishapitia huko, na maisha yanaendelea...
"Some people come into our lives and quickly go. Some stay for awhile and leave footprints on our hearts. And we are never, ever the same."
...acha/punguza mawasiliano na ex, otherwise you'll never move on! ...acha kurudisha fikra na kumbukumbu, au mazoea ya vitu, mambo na sehemu mlizozoea kuwa pamoja...
...acha kujipa mawazo ya labda atakurudia au labda ni kosa lako! it was meant to be like that, kubali matokeo....
...jipe moyo utayavuka majaribu haya. Japo ngumu kusahau mazoea lakini
kuna mengi mazuri yanakusubiria,...kubali matokeo!
jipe moyo!
Some people come into our lives as blessings, others come into our lives as lessons.
Najihisi faraja sana moyoni baaada ya kusoma haya mawazo ya huyu member....., kudos for this....!
....hey,
Grieving period ni muhimu, lakini usi exaggerate mpaka ukasahau kula, kulala, kwenda kazini
kuendelea kuvaa vizuri na kujipenda kisa umeachwa! ...KUMBUKA blessings nyingine ulizojaaliwa...
....kumbuka, sio dhambi wala aibu hivyo unavyojisikia, dhambi na aibu ni jinsi utavyo react negatively!
chunga mdomo wako na unachosema kuhusu mwenzako,....kuachana sio uadui, lakini using'ang'anie urafiki naye!
Wenzako tulishapitia huko, na maisha yanaendelea...
ΒSome people come into our lives and quickly go. Some stay for awhile and leave footprints on our hearts. And we are never, ever the same.Β
...acha/punguza mawasiliano na ex, otherwise you'll never move on! ...acha kurudisha fikra na kumbukumbu, au mazoea ya vitu, mambo na sehemu mlizozoea kuwa pamoja...
...acha kujipa mawazo ya labda atakurudia au labda ni kosa lako! it was meant to be like that, kubali matokeo....
...jipe moyo utayavuka majaribu haya. Japo ngumu kusahau mazoea lakini
kuna mengi mazuri yanakusubiria,...kubali matokeo!
jipe moyo!
Some people come into our lives as blessings, others come into our lives as lessons.
Mchango wa Mbu unahusu; kuomgezea tafuta au kumbukuka vitu ulivyokuwa unapenda/kutamani kufanya (kama passion) ukawa unakosa muda kwa ajili ya kuwa naye, viamshe na uzibe pengo la idle time.
Jipende mwenyewe na usijilaumu kabisa; hata kumlaumu yeye haisaidii sana; better ona it is for the good of both of u!
Kujichanganya na marafiki ni therapy nzuri sana; na mwisho a minute or two with ur God; sharing with him how u feel will do miracles.
Wish u a quick recovery!
mbu una maexperience
...lol...kaka hebu nawe ongezea bana..
haya mambo kila mtu na experiences zake,...yakikukuta utajiona ushapoteza thamani ya vitu vyote duniani,
lakini ukijikubalisha na ukweli, kisha ukashukuru mw'mungu na maisha yakaendelea...aaa, hakuna liwazo kama hilo.
Hapa mbu baada ya misukosuko yote ya nyuma, roho yangu nyeupeeee...nishamsamehe na kumsamehe 'mwalimu' wangu wa mapenzi, tena namuombea heri hasa huko aliko...maana kiukweli nitaumia nikisikia anateseka!
I didn't deserve her, nor was she to me!....kila nikiuangalia mwaka 2011 na kumbukumbu zake, wallahi Mw'Mungu ni mwema. Kama ushawahi sikia msemo "baada ya dhiki faraja,!" ndio hali niliyopitia mimi.... JF kuna 'Guardian Angels' humu, ...God bless you all!!!
You know what Soulmate?................I always ask myself what would I do, how would I cope without your wisdom.
I count myself blessed to be closer to you!
Kama si wewe JF, ningekuwa doomed mie
Mtoa mada kusema kweli it is not easy. Kama alivyosema Mbu inakubidi kujipanga haswaa! Mimi ilinichukua muda mpaka kufikie uamuzi wa LIFE HAS TO GO ON WITHOUT HIM. Thanx to JF members who have been very supportive on this! I just feel strong to myself kuwa siku hizi ninawezakuta missed call zake na nisibother kumcall back! kuwa anawezakuja kwangu getini na kumwona mwanae without me kuchungulia kwenye dirisha ah! ninajisifu nimepiga hatua kubwa sana aisee! hadi mwenyewe anashangaa!!