Broken heart

Broken heart

Heheheh WiseLady hujiamini mamaa????
Kma utakubali mbele ya Kloro kwamba appl zetu zikifika pamoja naweza nikakushinda ntakuachia nisubirie bahati nyingine!!!:hug:

lizzy cyo kutokujiamini ila nimempenda ghafla,,kuna mmoja husninyo ana kontakti zake tunaweza kukupatia,,,
 
lizzy cyo kutojikujiamini ila nimempenda ghafla,,kuna mmoja husninyo ana kontakti zake tunaweza kukupatia,,,

Orait orait....ila kwa masharti kwamba kadi ya harusi ntapata ila ya mchango unapotezea!!!Alafu nataka nikae pembeni ya Kloro!!!
 
Orait orait....ila kwa masharti kwamba kadi ya harusi ntapata ila ya mchango unapotezea!!!Alafu nataka nikae pembeni ya Kloro!!!
inabidi uende shopping harold london? si unaelewa kwamba kloro ni faifu star? hehehe julie robert atasibitisha hii.
 
inabidi uende shopping harold london? si unaelewa kwamba kloro ni faifu star? hehehe julie robert atasibitisha hii.

Kwani we unadhani shopping hua naenda wapi?Nwy nimebadilisha mawazo maana ntakupandisha chati sana!WL Kloro umweke mbali kama kingo za bahari!
 
Orait orait....ila kwa masharti kwamba kadi ya harusi ntapata ila ya mchango unapotezea!!!Alafu nataka nikae pembeni ya Kloro!!!

ustie shaka mydear mchango utatoa hata wa mawazo,,cheki na husninyo basi kaja kukuskiliza,kijana utampenda mweyewe
 
ustie shaka mydear mchango utatoa hata wa mawazo,,cheki na husninyo basi kaja kukuskiliza,kijana utampenda mweyewe
Hapo sawa!Hus naona anasema ameshabeba mzima mzima!Mi nilie tu!
 
Hapo sawa!Hus naona anasema ameshabeba mzima mzima!Mi nilie tu!

mimi nakalea lea tu. Naomba nikukabidhi kale kamzigo bureee.
Yaani fri of chaji kuonesha msisitizo.
 
Back
Top Bottom