Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

Wale wenye tatizo la KUMWAGA MAPEMA AU UUME KULEGEA NDANI WAKILA TUNDA WANIONE.

kunatiba niwapatie msumari usimame hadi waunganishe bao.
(NOTE; SIFANYI BIASHARA, UTACHANGIA NAULI NA USUMBUFU KIDOGO)
 
Vijana wengi hawana tatizo la nguvu za kiume bali tatizo la msongo wa mawazo na wasiwasi na kutojiamini tu hasa katika kipindi huko cha material world kuliko utu na upendo!!!


Hisia unazitoa wapi wakati unajua FIKA unaefanya nae mapenzi hakupendi wala hana hisia na yeye bali amekufanya kuwa robot au mashine ya kufuatilia fedha !!!


Yaani unanunua kila KITU HADI uke hata hao tunaowaita wake zetu,wapenzi wanadai vingi toka kwetu kuliko hata wazazi wao walivyo wapatia! NGUVU utatoa wapi!!!


UKWELI WA KWAMBA Mapenzi YANAUZWA KAMA BIDHAA NYINGINE YEYOTE UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME KWA ASILIMIA 50 HASA KWA MTU ALIEFUNDISHWA NA KULELEWA KWA MAADILI YA UPENDO WA ASILI!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…