Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

Wale wenye tatizo la KUMWAGA MAPEMA AU UUME KULEGEA NDANI WAKILA TUNDA WANIONE.

kunatiba niwapatie msumari usimame hadi waunganishe bao.
(NOTE; SIFANYI BIASHARA, UTACHANGIA NAULI NA USUMBUFU KIDOGO)
 
Wakuu,

Vijana wengi sasa hivi wamekua wakijihisi wana matatizo ya nguvu za kiume kumbe ni wazima kabisa.

Matatizo mengi ya nguvu za kiume husababishwa na kuangalia sana picha za ngono na Punyeto.

Picha/ video za ngono hukufanya uzoee kuona nyeti za mwanamke na hivyo kukufanya usipate hisia kali pale unapokua na mwenzi wako.

Punyeto hulegeza misuli ya uume hivyo huufanya umalize kwa haraka au ushindwe kusimama vizuri wakati wa tendo.

Sababu nyingine ni woga (anxiety) wakati wa tendo. Punguza woga na uwe relaxed. Utapiga show nzuri tu.

Pamoja na hayo, kuna baadhi ya watu ambao wana shida za kiafya ambayo zinawafanya washindwe kuwa na nguvu za kiume.

Wahi kwa Daktari, matatizo haya kwa kiasi kikubwa yanatibika

Naomba kuwasilisha.
Vijana wengi hawana tatizo la nguvu za kiume bali tatizo la msongo wa mawazo na wasiwasi na kutojiamini tu hasa katika kipindi huko cha material world kuliko utu na upendo!!!


Hisia unazitoa wapi wakati unajua FIKA unaefanya nae mapenzi hakupendi wala hana hisia na yeye bali amekufanya kuwa robot au mashine ya kufuatilia fedha !!!


Yaani unanunua kila KITU HADI uke hata hao tunaowaita wake zetu,wapenzi wanadai vingi toka kwetu kuliko hata wazazi wao walivyo wapatia! NGUVU utatoa wapi!!!


UKWELI WA KWAMBA Mapenzi YANAUZWA KAMA BIDHAA NYINGINE YEYOTE UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME KWA ASILIMIA 50 HASA KWA MTU ALIEFUNDISHWA NA KULELEWA KWA MAADILI YA UPENDO WA ASILI!!!
 
Back
Top Bottom