Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

ILI TUJUE DRONE DRAKE ANA HAYO MADHARA INABIDI TUMTUMIE DELILA, DELILA ATATEGA CAMERA YA SIRI BILA DRONE KUJUA ALAFU TUTAPATA MKANDA WA UZAGAMUAJI WAKE VP JE, ANAWEZA KUWA NA MCHANGO KWA TAIFA?
 
Muda mwingi tunatumia kutafta pesa ndio maana tunahisi hatuna nguvu za kiume..ila inakuwa ni uchovu tu unaishia kupiga moja tu...
 
Hatimaye dronedrake na genge lake wampitia mtoa mada kama upepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakamnyakua kama kifaranga kwa mwewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna utafiti wa kisayansi unaothibitisha madhara ya punyeto bali ni nadharia za wauza madawa katika kuuza bidhaa zao.....

Tena punyeto inaimarisha misuli ya kiume na kuwa imara.....hata kwenye mwili wako kibaiolojia kiungo usichokitumia effectively kinakuwa dhaifu.......

Ndio maana ukinyanyua vitu vizito unasisimua misuli na kuwa imara na kurahisisha mzunguko wa damu.......

Vijana kuweni makini na wauza madawa....huwa wanakuja na kumbe zenye kuogofya ili unase kwenye mtego wa dawa zao na kukuumiza kabisa.........
 
Aliyosema mleta mada mengi hayana uhalisia,ila ukweli ni kwamba pornography na masterbation ni Addicting kama ukifanya pasina control

kama unatumia hivyo vitu viwili kwaajili ya kudeal na stress utapata uraibu kama wapatavyo wanywa pombe na watumiaji wa madawa ya kulevya, in a long-term utakuwa dependent na itakuwa ngumu kuacha.

Kuhusu nguvu za kiume hakuna ushahidi kwamba inapunguza.
 
Hujui lolote kuhusu NYETO.

Kama ulikuwa hujui NYETO ina saidia misuli ya uume kuwa imara na si kudhoofisha kama unavyo tupanga.
 
Dah wazee nipo addicted sana na nyeto kiukweli natamani kuacha nashindwa naweza kupiga mpaka mara sita Kwa wiki najiona mkosefu sana Yani dah ni adhabu kwangu Yani.
 
Vijana nguvu wanazo sana tena za kutosha tatizo pesaa tu... hawana maisha ujanja ujanja tu mjini hapa vijana wanaishi....wamejaa stress...nguvu zitatoka wapi?
Leo hii chumba self na sebule na jiko maeneo yanayoeleweka sio chini ya 250k, bado umeme,maji, bundle, king'amuzi,gesi,chakula,ulipie ulinzi, taka nk. vyote hivyo vinampa mawazo, warembo nao wanamizinga kibao mara pedicure,kusuka,vocha atakosa mawazo?!
Shule kijana kaenda lakini mishe zake hazina guarantee, nguvu za shoo nzito zitatoka wapi....!
Acha wapake mkongo kuji'boost.
 
Back
Top Bottom