Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

Watu wengi wenye matatizo ya umengenyaji kwenye mfumo wa chakula na watu wenye kukosa kupata choo Kwa muda mrefu hata siku SITA na wakipata choo kinakuwa kidogo Wanakuwa na tatizo la nguvu za kiume.
Mfano mzuri mtu akiwa kwenye haja kubwa na uume usisimame basi Kuna tatizo la nguvu za kiume hapo.
 
Sa mwanaume unakuwa addicted na nyeto kwanini??akati kuna pisi za kushato tu kitaa..acheni uoga wazee
 
Wengi huongea vitu vya kufikirika,

Napiga punyeto na kuwatch porn
ila nna iman tukiwekewa stopwatch Mimi na mtoa mada namuacha parefu mno.

Ingekua porn ni hoja,
Wacheza porn wasingekua na nguv za kiume maana ndio waongoza Kupiga punyeto na kuangalia porn zao wenyewe na za wenzao
Pornstars wengi huwa wanatumia viagra lkn,usnambie hujui?
 
Wakuu,

Vijana wengi sasa hivi wamekuwa wakijihisi wana matatizo ya nguvu za kiume kumbe ni wazima kabisa.

Matatizo mengi ya nguvu za kiume husababishwa na kuangalia sana picha za ngono na Punyeto.

Picha/ video za ngono hukufanya uzoee kuona nyeti za mwanamke na hivyo kukufanya usipate hisia kali pale unapokua na mwenzi wako.

Punyeto hulegeza misuli ya uume hivyo huufanya umalize kwa haraka au ushindwe kusimama vizuri wakati wa tendo.

Sababu nyingine ni woga (anxiety) wakati wa tendo. Punguza woga na uwe relaxed. Utapiga show nzuri tu.

Pamoja na hayo, kuna baadhi ya watu ambao wana shida za kiafya ambayo zinawafanya washindwe kuwa na nguvu za kiume.

Wahi kwa Daktari, matatizo haya kwa kiasi kikubwa yanatibika

Naomba kuwasilisha.
Kuna mpumbavu mmoja ananiambiaga punyeto inafanya misuli ilegee wakati K yake Ni ndogo Sana naingiza kwa shida naumia ila mkono Ni Kama adjustable najipimia tu
 
Hamu inatesa bana nilikuwa nishasahau

Nakumbuka tar 31dec ya last year nilipiga show moja na demu

Nikakaa siku kumi bila kupiga nyeto ,aloo niliteseka Sana nikaona kumbe Ni sawa yule demu kunisumbua kutaka ngono na mm nikishajichua nampotezea maana meeting yetu ya ngono Ina cost pesa nyingi

Siku ya 11 nikajichua bao tatu
 
Hamu inatesa bana nilikuwa nishasahau

Nakumbuka tar 31dec ya last year nilipiga show moja na demu

Nikakaa siku kumi bila kupiga nyeto ,aloo niliteseka Sana nikaona kumbe Ni sawa yule demu kunisumbua kutaka ngono na mm nikishajichua nampotezea maana meeting yetu ya ngono Ina cost pesa nyingi

Siku ya 11 nikajichua bao tatu
Haha nomaan iyo
 
Back
Top Bottom