BRT, FLYOVERS na Barabara Kupunguza Msongamano wa Magari Katika Miji na Majiji Yatekelezwa

BRT, FLYOVERS na Barabara Kupunguza Msongamano wa Magari Katika Miji na Majiji Yatekelezwa

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

BRT, FLY OVERS NA BARABARA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MAGARI KATIKA MIJI NA MAJIJI YATEKELEZWA

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na miradi mbalimbali ya kupunguza msongamano wa magari katika Miji na Majiji kwa kujenga barabara za juu (Fly Overs) kwenye Makutano ya barabara, Ujenzi wa Miundombinu ya Mabasi yaendayo haraka (BRT).

Bashungwa ameeleza hayo jijini Dodoma katika hafla ya kuangazia Mafanikio ya Miaka Mitatu Madarakani ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Ametaja majiji ambayo miradi hiyo ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji ikiwemo jiji la Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya na Arusha.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.17.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.17.jpeg
    124 KB · Views: 12
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.20.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.20.jpeg
    287.1 KB · Views: 12
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.20(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.20(1).jpeg
    287.1 KB · Views: 12
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.21.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.21.jpeg
    231.7 KB · Views: 11
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.22.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.22.jpeg
    237.3 KB · Views: 11
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.23.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.23.jpeg
    233.9 KB · Views: 11
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.24.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.24.jpeg
    243 KB · Views: 10
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.25.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 19.31.25.jpeg
    240.5 KB · Views: 10
Back
Top Bottom