BRT Kenya

That's why Tz will never surpass Ke economically, as you deal in agriculture alone Kenya is deal with both agric and manufacturing.
Kuwapita katika nini tena wakati parameters zote za maendeleo Tanzania ipo mbele tena sana? Wewe unadhani maendeleo ya nchi yanapimwa kwa GDP pekee, that is stupidity of highest degree.
 
Maybe maendeleo ya mdomo tu
Kuwapita katika nini tena wakati parameters zote za maendeleo Tanzania ipo mbele tena sana? Wewe unadhani maendeleo ya nchi yanapimwa kwa GDP pekee, that is stupidity of highest degree.
 
Utasemaje una maendeleo wakati bado unapokea chakula cha msaada?
So kuwa na chakula ndo maendeleo kulingana na wewe?? No wonder your education system is regarded as poor and inefficient.
 
Wakenya hawajua tofuti kati ya kujenga bodi la gari na kutengeneza Gari!!
mkuu hata mimi kuassemble gari naweza sasa wao sijui wanachoona kipya nini apo ishu ni kumade wakenya embu acheni ushamba na ulimbukeni
 
Inaingiza billions daily we unajenga uchumi wa maneno matupu
Tuusan siku idi uko na wivu wa kike,umadhani Toyota,foton ziliaza na Sura nzuri?nop walienda wakiadvance ndio iso unaona Sura nzuri ya leo....ambieni magufuli aache usanii wa viwanda vya juicy na cherahani tatu iyo ata Burundi inafanya ingieni industry za wanaume kama hii yetu.....
 
mkuu hata mimi kuassemble gari naweza sasa wao sijui wanachoona kipya nini apo ishu ni kumade wakenya embu acheni ushamba na ulimbukeni
Mbona nyi msieke body, you buy you PSV vehicle from Kenya and you talk here.
 
They look like modified Isuzu lorries.

This is an example of a city passenger bus for a modern BRT. The Kenyan lorry doesnt have air conditioning. Its a basic lorry!!

 
The beasts/Nyangau that roam the streets of Kenyan Cities. Make us unique. This simple things make Kenya flock with tourists & investors. Because we are Original.
 

Attachments

  • FB_IMG_15397229155061963.jpeg
    54.5 KB · Views: 18
Hahaha! [emoji1].....ni wale wale tu?
Alafu hata hizi pia walikuwa wanajaribu kuzilinganisha na huu ubunifu wa hali ya juu. Kazi za vijana wa hapa hapa Kenya. Assembly, fabrication, paintjob, graffiti, music system fitting, ndani free wi-fi, screen karibia zote hadi zingine zina aquariums humo ndani n.k.
 
Ha ha ha ha kazi kweli kweli....afrika itabaki kuwa Afrika....πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nilijua tu hili li picha wakilipata WAKENYA kwenye huu uzi watalipost
 
Some of those lories & buses you are talking about have been spent on over 40million kshs. Money that can purchase 3 Brt buses. And pump in 10Γ— more profit than bus za BRT tano zikishikanishwa in one day. Some have 5* kind of VIP sections fully fited with free wifi, air conditioning and others have live Djs on board. Sasa takataka ya Brt mnakalia stool mkinukiana majasho ndio unataka kulinganisha na Matwana! Are you mad?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nairobi iko level ingine buda.
They look like modified Isuzu lorries.

This is an example of a city passenger bus for a modern BRT. The Kenyan lorry doesnt have air conditioning. Its a basic lorry!!

View attachment 900446
 
So kuwa na chakula ndo maendeleo kulingana na wewe?? No wonder your education system is regarded as poor and inefficient.
Unadhani maendeleo ni kuwa na majumba marefu na malls wakati watu wabakufa kwa njaa, waliowaweka katika kundi la failed state hawajakosea, endeleeni kufuraia tall buildings, sisi huku tunazidi kujihakikishia usalama wa chakula, stupid nyang' au, hamna akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…