Inferior Complex
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 3,655
- 5,023
[emoji23] [emoji23] [emoji23]You're the one to read btn the line.
MKUU nimeongea kingerezaaa cha kikenya au hujawah waona wakiongea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]You're the one to read btn the line.
Nimekupata mkuu,[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MKUU nimeongea kingerezaaa cha kikenya au hujawah waona wakiongea?
njoo pm nikupeUnataka nichukue upi? Wewe niambie
Papa hapa. Hamna la kufichanjoo pm nikupe
Nta reply nkiwa objective..tulijaribu expansion y roads haikumaliza jam option n hayo mabasi yavutie watu Wapersonal waache magari Yao manyumbani..tutamia existing infrastructureWapi Vituo
kenya mnavituko aisee
yaani Mmeanza na Bus kabla ya miundombinu!!
Au hapo ndio kituoni
so mnafurahia kuingiza mabasi toka nje? miafrika bana🙄🙄...Gari zetu ipi imenunukiwa ke? Show me
Sio kutoka nje tu, kama hatuna tech basi ni lazima tuagizena sio tu kuagiza ni kuagiza kilichobora!!so mnafurahia kuingiza mabasi toka nje? miafrika bana...
penda kilicho chenu...kama hamna capacity basi agizeni toka EAC...sio kwenda kupeleka hela Afrika Kusini au Japani...nchi ambazo zinawadharauSio kutoka nje tu, kama hatuna tech basi ni lazima tuagizena sio tu kuagiza ni kuagiza kilichobora!!
Dharau ni mtazamo tu,dharau haikuvunji mfupa wala haichani msuli, hata wao walijibiidisha ndio wakafika walipo,tena nmesema kama gari ziliagizwa Kenya sio tatizo,tatizo kwann zenu ni mbaya tu kwa muonekano?kama mmeweza kutoa buses nzuri kama zile kwa nchi nyinginependa kilicho chenu...kama hamna capacity basi agizeni toka EAC...sio kwenda kupeleka hela Afrika Kusini au Japani...nchi ambazo zinawadharau
ndio, waliweka bidii ndio maana wanaexport mabasi zinaenda nchi kama tz...basi nanyi mnawaabudu badala ya kutia bidii mtengeze zenu🙄🙄kisha, basi hizo za Isuzu EA hazina shida yoyote ukizingatia quality...kama mwonekano ndio shida tu basi inamaanisha upo shallow sana kiakili...mabasi hayo ni ya kumaliza congestion...mwonekano mzuri haumalizi congestion...hivi ushawahi kuona mabasi yanayofanya kazi nchi flani za bara uropa au treni za marekani? yaani mwonekano haijalishi chochote...efficiency na quality, effect on local economy ndio mtu huwa anaangazia...not aesthetic qualities my fren...dont be shallow...na pia kwa maoni yangu basi hizi hazina mwonekano mbaya sana...zimejaribu pia...plus they are built in kenya by kenyans...thats teh most important aspectDharau ni mtazamo tu,dharau haikuvunji mfupa wala haichani msuli, hata wao walijibiidisha ndio wakafika walipo,tena nmesema kama gari ziliagizwa Kenya sio tatizo,tatizo kwann zenu ni mbaya tu kwa muonekano?kama mmeweza kutoa buses nzuri kama zile kwa nchi nyingine
Ilikua ni lazima unitusi ili ufurah it's okeyndio, waliweka bidii ndio maana wanaexport mabasi zinaenda nchi kama tz...basi nanyi mnawaabudu badala ya kutia bidii mtengeze zenu🙄🙄kisha, basi hizo za Isuzu EA hazina shida yoyote ukizingatia quality...kama mwonekano ndio shida tu basi inamaanisha upo shallow sana kiakili...mabasi hayo ni ya kumaliza congestion...mwonekano mzuri haumalizi congestion...hivi ushawahi kuona mabasi yanayofanya kazi nchi flani za bara uropa au treni za marekani? yaani mwonekano haijalishi chochote...efficiency na quality, effect on local economy ndio mtu huwa anaangazia...not aesthetic qualities my fren...dont be shallow...na pia kwa maoni yangu basi hizi hazina mwonekano mbaya sana...zimejaribu pia...plus they are built in kenya by kenyans...thats teh most important aspect
hahahaha hakuna matusi pale kaka😀😀...ninaposema upo shallow maanake ni kuwa unaangazia vitu visivyo vya maana...nikama kumwoa bibi kwa sababu ya kuwa na makalio makubwa badala ya kuangazia tabia na mienendo yake😀😀...anyway, nyie nunueni japani tu...sie twajenga uchumi wetu...kazi ambayo basi hizi zitafanya hakuna tofauti yoyote na kazi ambayo BRT yenu inafanya kule Dar...tofauti ni moja tu...nyinyi mliexport kazi nchi za ngambo ila sisi kazi zimebaki kenyaIlikua ni lazima unitusi ili ufurah it's okey
Inaingiza billions daily we unajenga uchumi wa maneno matupuhahahaha hakuna matusi pale kaka😀😀...ninaposema upo shallow maanake ni kuwa unaangazia vitu visivyo vya maana...nikama kumwoa bibi kwa sababu ya kuwa makalio makubwa badala ya kuangazia tabia na mienendo yake...anyway, nyie nunueni japani tu...sie twajenga uchumi wetu...kazi ambayo basi hizi zitafanya hakuna tofauti yoyote na kazi ambayo BRT yenu inafanya kule Dar...tofauti ni moja tu...mliexport kazi nchi za ngambo nasi kazi zimebaki kenya
naona nikama haunielewi ndugu...weka ushabiki kando kwa dakika moja tu... utanielewaInaingiza billions daily we unajenga uchumi wa maneno matupu
😂😂😂😂😂Ilikua ni lazima unitusi ili ufurah it's okey
Ukiskia Mbongolala akisema atakupa za uso utadhani ataongea kitu cha maana, kumbe ni upuzi tu na mambo hayana mbele wala nyuma.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
nasubir mkenya ajichanganye nimpe za uso
sema hamnitafuti
Kenya huwa hawajali uzuri, unayajua matatu yao yalivyo na sura kama chai maharage za 90's hapa bongo?Hahaha Hayo mabasi mbona yanasura ya Karne ya 20 vile
Yaani Yamesha choka kabla yakufika Barabarani