Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya na ubunifu hawana mpinzani E.AHongereni Kenyans,
Kitu ambacho Tanzanians tumekifanya kwa billion kadhaa kujenga miundombinu kumbe kuna ubunifu mwingine mzuri tu wa kununua makopo ya rangi na Kuchora mistari na maandishi kidogo tu.....!
jusiti readi properi betuini ze lainiWakenya na ubunifu hawana mpinzani E.A
Kuna sehemu umeona public transport ya mjini(sio kwenda mikoani/miji mingine) hamna kusimama?Mtakuwa mnakaa tu kama kawaida au nakusimama kama TZ
Nimependa hiyo slogan pembeni mwa gari
Naelewa ni kejeli hiyojusiti readi properi betuini ze laini
ya huyo mdau ambaye umemqoite
Hv ile Bombardier yetu imeandikwaje?Mtakuwa mnakaa tu kama kawaida au nakusimama kama TZ
Nimependa hiyo slogan pembeni mwa gari
That rubbish doesnt qualify in public transport.....something like UDART,London Bus etc.People don't stand hereView attachment 899843
Ha ha ha ha kazi kweli kweli....afrika itabaki kuwa Afrika....🙂🙂🙂🙂🙂Oooh, you mean this?View attachment 899851
Wanaume wa kimara katika ubora wao.😀Oooh, you mean this?View attachment 899851
unachukua Uamuzi upi baada ya hizo kejeli?Naelewa ni kejeli hiyo
Unataka nichukue upi? Wewe niambieunachukua Uamuzi upi baada ya hizo kejeli?
You're the one to read btn the line.jusiti readi properi betuini ze laini
ya huyo mdau ambaye umemqoite
Hahaha mikebe.com.keHongereni Kenyans,
Kitu ambacho Tanzanians tumekifanya kwa billion kadhaa kujenga miundombinu kumbe kuna ubunifu mwingine mzuri tu wa kununua makopo ya rangi na Kuchora mistari na maandishi kidogo tu.....!
Gari zetu ipi imenunukiwa ke? Show meRemember you imported yours, some from Kenya.