Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni ile ya former governor Sonko...bure kabisa.Wakenya kwa makelele.
View attachment 1742442
Vibanda umiza hivyo...just to force kufanana
Nice one, any other updates
BRT yetu haifanani na yenu so sijui unaongea kuhusu nini.Vibanda umiza hivyo...just to force kufanana
Here's the main deport where much of the construction is taking place. The video was taken on. 9th April.Nice one, any other updates
Hawa watu tangu mungu wao afe wako na machungu Sana.BRT yetu haifanani na yenu so sijui unaongea kuhusu nini.
Hivyo vituo watu watakua wanasimama na mguu mmoja ndani mwingine barabara I..si kea kufinywa huko
Hivyo vituo watu watakua wanasimama na mguu mmoja ndani mwingine barabara I..si kea kufinywa huko
Ni kila mahali, Kenyan media doesn't cover such., Watu wakiona gap inaongezeka wanasema tumepika GDP [emoji23][emoji23][emoji23], hadi raha., Eldoret, Mombasa, Kisumu, Lamu, North Eastern, kuna projects U/C, by end of 2022, watu watajua hawajui.Btw I had the chance to travel to Nyeri yesterday...massive construction is ongoing on that road .
[emoji2][emoji2][emoji2]
Kwa hiyo taarifa ya kwamba Tanzania ndio inayoongoza kuwa na projects nyingi zenye thamani kubwa "almost three times that of Kenya" iliyotolewa na "independent institutions" unazipinga?.Ni kila mahali, Kenyan media doesn't cover such., Watu wakiona gap inaongezeka wanasema tumepika GDP [emoji23][emoji23][emoji23], hadi raha., Eldoret, Mombasa, Kisumu, Lamu, North Eastern, kuna projects U/C, by end of 2022, watu watajua hawajui.
They're dualing from Kenol to Isiolo. It will be the longest dualed road in the region before dualing Mombasa - Nairobi. The peak though will be after the whole stretch from Mombasa to Malaba gets dualed.Btw I had the chance to travel to Nyeri yesterday...massive construction is ongoing on that road .
Ungekubali tu uzikwe na Magufuli kwenye kaburi moja, I assure you all these pain could have gone away.Kwa hiyo taarifa ya kwamba Tanzania ndio inayoongoza kuwa na projects nyingi zenye thamani kubwa "almost three times that of Kenya" iliyotolewa na "independent institutions" unazipinga?.
1)SGR, $3.B
2)Bwawa la umeme $2.9B
3)BRT $370M
4)Daraja la Kigongo - Busisi $350M
5)Daraja la Tanzanite $290M
Hii miradi mitano pekee, inazidi miradi yote inayoendelea katika nchi yenu yote, taja miradi yenye thamani ya zaidi ya $2B. Lamu port hadi sasa hakuna "Financial institution yoyote iliyokubali kutoa fedha, na serikali yenu imetoa $200M pekee.
Nice one...infact Washa tarmac some portions just after kakuzi.They're dualing from Kenol to Isiolo. It will be the longest dualed road in the region before dualing Mombasa - Nairobi. The peak though will be after the whole stretch from Mombasa to Malaba gets dualed.