Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Huujui mpira ndiyo maana unaandika utopolo humu.Mpira Una maajabu sana yaani chama wanavyomsifia Tanganyika huko Zambia ni utopolo
Maufunguo ndo Nani Tena acha kujibu kwa hisiaNaona sasa mmeshaona Mchezaji wenu Maufunguo hawezi kufika hata robo ya Chama. Kwa hilo ahsante.
Mnaanza kumtafutia mpinzani mwingine. Sasa ndugu, walau uwe na adabu na CCC. Yule ni mtu mwingine, hana mchezaji wa kumlinganisha kwa nafasi yake.
Bruno apewe muda. Kwa baadae sawa tutamlinganisha. Kwa muda huu bado kiukweli.
BRUNO GOMES NI ZAIDI YA CHAMA
hadi sasa Kiugo bora katika ligi Kuu ya NBC ni Bruno Gomes wa Singida Big Stars.
kuwa kwa namna ambavyo Bruno ameisaidia Singida Big Stars anamzidi hata Clatous Chama kwa sababu kuna wakati Bruno alichezeshwa kiungo wa chini akafanya vizuri na alipopelekwa kiungo wa juu aliendelea kufanya vizuri.
View attachment 2577537
Aziza ndo Nani acha kujibu kwa hisia nonsense ,shabiki maandazi πKwahiyo sio Aziza
Nakubari mkuuKila mmoja ana ubora wake inategemea na mahitaji ya Kocha na game plan yke
gomez habari nyingine acha kumlinganisha na chamaBRUNO GOMES NI ZAIDI YA CHAMA
hadi sasa Kiugo bora katika ligi Kuu ya NBC ni Bruno Gomes wa Singida Big Stars.
kuwa kwa namna ambavyo Bruno ameisaidia Singida Big Stars anamzidi hata Clatous Chama kwa sababu kuna wakati Bruno alichezeshwa kiungo wa chini akafanya vizuri na alipopelekwa kiungo wa juu aliendelea kufanya vizuri.
View attachment 2577537
Mchezaji mpya wa Yanga huyo,msimu ujao.BRUNO GOMES NI ZAIDI YA CHAMA
Hadi sasa Kiugo bora katika ligi Kuu ya NBC ni Bruno Gomes wa Singida Big Stars.
Kuwa kwa namna ambavyo Bruno ameisaidia Singida Big Stars anamzidi hata Clatous Chama kwa sababu kuna wakati Bruno alichezeshwa kiungo wa chini akafanya vizuri na alipopelekwa kiungo wa juu aliendelea kufanya vizuri.
View attachment 2577537
ameisaidia kufika wapi? Kwa sasa tupo busy na Wydad CasablancaKuwa kwa namna ambavyo Bruno ameisaidia Singida Big Stars
wameshahamisha mshindani baada ya kuona Aziz Ki anaishia kutema mate tuKwahiyo sio Aziza
Bye bye ππππππππameisaidia kufika wapi? Kwa sasa tupo busy na Wydad Casablanca
Wydad CasablancaππππMtakuja kumlinganisha hadi na Dada zenu sasa..Chama atabaki kuwa Chama
BRUNO GOMES NI ZAIDI YA CHAMA
Hadi sasa Kiugo bora katika ligi Kuu ya NBC ni Bruno Gomes wa Singida Big Stars.
Kuwa kwa namna ambavyo Bruno ameisaidia Singida Big Stars anamzidi hata Clatous Chama kwa sababu kuna wakati Bruno alichezeshwa kiungo wa chini akafanya vizuri na alipopelekwa kiungo wa juu aliendelea kufanya vizuri.
View attachment 2577537
Hao ndo tuliowataka baada ya Mamelodi. Champions League sio shirikisho la Marumo Gallants πππWydad Casablancaππππ