MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,149
- 3,963
Watu wawili wameuawa ikiwa ni matokeo ya mashambulizi kutoka Ukraine yaliyokilenga kijiji kimoja ndani ya mkoa wa Bryansk ndani ya Urusi. Hayo yamesemwa na Gavana wa mkoa huo kama alivyonukuliwa na chombo cha habari cha Urusi TASS.
Mashambulizi hayo yalikipiga kijiji cha SUZEMKA kilichopo mashariki mwa mpakani mwa nchi hizo mbili. Gavana wa mkoa huo, Alexander Bogomaz alisema siku ya jumapili kwa mjibu wa TASS-Chombo cha habari kinachomilikiwa na Serikali ya Urusi. Kwa mjibu wa tathmini ya kiusalama iliyofanyika, jengo moja la makazi ya Raia liliharibiwa kabisa huku nyumba zingine mbili zikiharibiwa kidogo, alinukuliwa Gavana huyo akisema.
Hayo yakijili, zaidi ya vijiji 4 katika mkoa wa mpakani wa Urusi wa Belgorod havina umeme baada ya ndege 3 zisizo na rubani kuharibu vituo 6 vya kuzalisha umeme.
Hapa najaribu kuuliza
Hivi yale maneno ya Dmitry Medvedev kwamba endapo ardhi ya Urusi ikiguswa, basi Urusi itajibu kwa Nyuklia bado yanaishi au ilikuwa ni kwara mbuzi?
Jana Jumamosi, Ukraine walisambaratisha kabisa ghala la kuhifadhia mafuta mwambao mwa Sevastopol ndani ya mkoa wa Crimea. Kama haitoshi, Ukraine ilitumia Drones 3 kuharibu vituo 6 vya kuzalisha umeme ndani ya Urusi katika Mkoa wa Belgorod na kuviacha vijiji 4 bila nguvu ya umeme. Sasa leo tena kama haitoshi Jumapili ya leo Warusi 2 wamekufa baada ya Ukraine kukishambulia kijiji cha SUZEMKA katika mkoa wa BRYANSK ndani ya Urusi. Hizo Nyuklia za Medvedev zinasubiri nini? Au hazina Mafuta ya kurukia?
Attack on village inside Russian territory follows drone raid on fuel storage facility in Russia-annexed Crimea. Ukrainian shelling of Russian village kills two, governor says
Mashambulizi hayo yalikipiga kijiji cha SUZEMKA kilichopo mashariki mwa mpakani mwa nchi hizo mbili. Gavana wa mkoa huo, Alexander Bogomaz alisema siku ya jumapili kwa mjibu wa TASS-Chombo cha habari kinachomilikiwa na Serikali ya Urusi. Kwa mjibu wa tathmini ya kiusalama iliyofanyika, jengo moja la makazi ya Raia liliharibiwa kabisa huku nyumba zingine mbili zikiharibiwa kidogo, alinukuliwa Gavana huyo akisema.
Hayo yakijili, zaidi ya vijiji 4 katika mkoa wa mpakani wa Urusi wa Belgorod havina umeme baada ya ndege 3 zisizo na rubani kuharibu vituo 6 vya kuzalisha umeme.
Hapa najaribu kuuliza
Hivi yale maneno ya Dmitry Medvedev kwamba endapo ardhi ya Urusi ikiguswa, basi Urusi itajibu kwa Nyuklia bado yanaishi au ilikuwa ni kwara mbuzi?
Jana Jumamosi, Ukraine walisambaratisha kabisa ghala la kuhifadhia mafuta mwambao mwa Sevastopol ndani ya mkoa wa Crimea. Kama haitoshi, Ukraine ilitumia Drones 3 kuharibu vituo 6 vya kuzalisha umeme ndani ya Urusi katika Mkoa wa Belgorod na kuviacha vijiji 4 bila nguvu ya umeme. Sasa leo tena kama haitoshi Jumapili ya leo Warusi 2 wamekufa baada ya Ukraine kukishambulia kijiji cha SUZEMKA katika mkoa wa BRYANSK ndani ya Urusi. Hizo Nyuklia za Medvedev zinasubiri nini? Au hazina Mafuta ya kurukia?
Attack on village inside Russian territory follows drone raid on fuel storage facility in Russia-annexed Crimea. Ukrainian shelling of Russian village kills two, governor says