majibu yake yamempa nini tangu aanze uvamiz ? ni aibu taifa kubwa kama URUSI kushindwa fanikisha malengo ndan ya mwaka na sikuu kazaa , tena akifanikiwa kufika nje ya mji mkuu halaf anarudishwa mpk mpakan
akili zenu sijui vipi kwa hiyo hako kashambulio kamoja ndio imekuwa habari ya mjini kwenu wakati huko ukraini ardhi inasepa mdogo mdogo mpaka huko kiev itasombwa yote .....
majibu yake yamempa nini tangu aanze uvamiz ? ni aibu taifa kubwa kama URUSI kushindwa fanikisha malengo ndan ya mwaka na sikuu kazaa , tena akifanikiwa kufika nje ya mji mkuu halaf anarudishwa mpk mpakan