Bryason Raphael na Sospeter Bajana nini kimejificha nyuma ya haya majina

Tff na mwajiliwake wa Sasa ndio wanajua Sababu.
 
Hilo jina limemfanya asiwe anaitwa National team
 
Amekuwa reborn balaaa...nina shahuku ya kuona performance ya kwenye mchezo ujao dhidi ya mtibwa sugar....maana hushindi ligi kwa performnce dhidi ya timu kubwa tuu
Alikuwa injured Ila ni mtu haswa

Yeye hupenda kujiita Strong Man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…