Bryason Raphael na Sospeter Bajana nini kimejificha nyuma ya haya majina

Bryason Raphael na Sospeter Bajana nini kimejificha nyuma ya haya majina

Takwimu zinaongea acha matusi kama shoga.
Huyo unaemwita strong man hana lolote zaidi anabebwa na K. Muguna na Mudathir. angekuwa na uwezo angeibeba timu yake ipande angalau top 4 sio kukamia mechi kubwa ndio unampgia promo humu.
Hakuna namba 6 anaemfikia Kelvin Nashon kwa sasa nchini takwimu ziko wazi.
Labda Kama umemjua Jana alishawahi kuwa captain tafuta mechi zake za msimu uliopita utamuona na utamuheshimu
 
Mwanzoni mama alimdanganya kwamba babake ni Raphael ili apate matumizi kwakuwa Bajana alikuwa ohehae. Baada ya Bajana kuzipata pesa mama kabadili gia angani kamwambia baba ni Bajana. Mjini kisomo. Ukizubaa utaliwa.
 
Mwanzoni mama alimdanganya kwamba babake ni Raphael ili apate matumizi kwakuwa Bajana alikuwa ohehae. Baada ya Bajana kuzipata pesa mama kabadili gia angani kamwambia baba ni Bajana. Mjini kisomo. Ukizubaa utaliwa.
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa... hahahaha 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom