Bsc architecture,inalipa?

Bsc architecture,inalipa?

gwami

Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
44
Reaction score
28
wadau naomba kuuliza,shahada ya usanifu majengo inalipa?hasa kwa mazingira halisi ya kitanzania!?na pia kati ya architecture na civil engineering,ipi iko poa zaidi?asanteni!
 
Vipo vyuo kadhaa vinafundisha Architecture hapa Tanzania,ila chuo maarufu ni Ardhi University. Kuna Architecture in landscape(Hii ni mpya), Architecture in interior design na Architecture in General(Hii ni miaka mitano).Sasa itategemea we utasoma ipi ila in ya tatu ina unafuu katka soko.Angalizo,msuli wa Architecture sio mchezo,Hiitaji Wabana pua,wavaa milegezo,wanyoa kiduku wala wapaka poda.Kuhusu Engineering, Telecom Engineering,Computer Engineering na Civil Engineering zote nzuri ila kuhusu ajira ni juhudi zako mwenyewe na uwezo wako kazini.
 
wadau naomba kuuliza,shahada ya usanifu majengo inalipa?hasa kwa mazingira halisi ya kitanzania!?na pia kati ya architecture na civil engineering,ipi iko poa zaidi?asanteni!

Karibu ulimwengu wa construction, architecture ni course inayohitaji uwezo wa darasani na kipaji(ubunifu) ni nzuri kama utaipenda, na civil nayo ni nzuri coz ina wigo mpana kuzidi architecture coz wenyewe wanafanya kazi zingine za ziada kama ujenzi wa barabara,maji ,bandari n.k pia kuna course nyingine ambayo ni field moja na hizo hapo juu ni quantity surveyor(QS) mkadiriaji majenzi, kozi zote hapo juu unaweza ukazipata ardhi university hope of africa. Qs Darius hapa
 
Last edited by a moderator:
Dah,nashukuru kaka,nadhan arch general itakuwa poa zaidi!
 
Thnks dr,i ill do my best in that case!asante kwa angalizo!
 
kama hujui kuchora ata box usihmjaribu kuisogelea arch utasanda mapema sana..uko tayar kuzima moto?(kukesha km popo maisha ysko yote)
 
So arch inaweza kuwa ngumu kuliko civil engineering mkuu?
 
Civil ni ngumu zaidi ya Architecture

Architecture unatakiwa kujua kunyoosha mistari tu na kuchezea Archi-CAD usiku mzima

Pia kukariri sana mambo ya anthrometric data.Sasa bro kwl unashindwa kufanya vitu simple namna hiyo ?
 
wadau naomba kuuliza,shahada ya usanifu majengo inalipa?hasa kwa mazingira halisi ya kitanzania!?na pia kati ya architecture na civil engineering,ipi iko poa zaidi?asanteni!

shida kubwa Tanzania ni kwamba tumevamiwa na wachina kiasi kwamba wataalamu watu wanakosa soko katika fani nyingi zikiwepo za engineering na pia nchi yenyewe haina imani na wataalamu wanaotengenezwa. of coz architecture inalipa ila sio huku Tanzania
 
Kwanza Architecture sio engineering,ni sanaa !

Architect ana design jengo civil engineer analitia nondo na kuhakikisha linasimama

Kipi kigumu kati ya hzo mbili ?!!!
 
Kasome Archtecture inalipa sana hiyo dogo uzuri wake hiyo unajiajiri binafsi ukiwa hata chuo kuanzia forth year unaweza kusanifu majengo na kuuza ramani na kuingiza kipato hata kabla huja maliza chuo esp hizi za watu binafsi kapige msuli tu. Nakumbuka my bro na my fiancee walianza kupiga mzigo kuuza ramani hata kabla hawaja graduate tena ukiwa na Network kujuana na watu mbona lyf is simple being Artch... Civil kwanza ni ngumu sana na return yake inachukua Muda my sister alichukua hiyo akaamua kubaki tu kufundisha...wakati mdogo ake anasanifu majengo.
 
Kwanza Architecture sio engineering,ni sanaa !

Architect ana design jengo civil engineer analitia nondo na kuhakikisha linasimama

Kipi kigumu kati ya hzo mbili ?!!!

mkuu unaijua architecture au unaongea tuu..! Tupo na watu huku chuo kila siku wanakesha studio kama machizi , hii course inahitaji uwezo wa darasani na uwezo binafsi(ubunifu) tofauti na civil , kwa maoni yangu civil ni result ya architecture coz hata hao ma architect wanasoma strength of the building kufahamu a design vp jengo lake, narudia tena civil engineering inachoizidi architecture ni wigo mpana wa kazi mfano barabara,maji,bandari,airports etc ambazo kwa upande flan architecture anahusika kwa mbali kwenye landscaping tuu .
 
Thnks bro darius,but hata airports c huwa zinakuwa designed kwanza na architects?
 
Thnks,hivi architects wanaweza ajiriwa serekalini?au ni mwendo wa kujiajiri!?
 
So archi ni msanifu tuu?does t mean hakuna application ya mahesabu na fizikia?
 
mkuu unaijua architecture au unaongea tuu..! Tupo na watu huku chuo kila siku wanakesha studio kama machizi , hii course inahitaji uwezo wa darasani na uwezo binafsi(ubunifu) tofauti na civil , kwa maoni yangu civil ni result ya architecture coz hata hao ma architect wanasoma strength of the building kufahamu a design vp jengo lake, narudia tena civil engineering inachoizidi architecture ni wigo mpana wa kazi mfano barabara,maji,bandari,airports etc ambazo kwa upande flan architecture anahusika kwa mbali kwenye landscaping tuu .

Mkuu go into details of things you are interest with before coming up with conclusion. Do you mean architect is much better than civil engineering? In terms of what? What frame of reference do you use? What do you think is the marketable course if you combine Coet and Ardhi University courses? Prof. Mshoro used to lough at us when majority were queing for Electrical Engineering back then
 
mkuu unaijua architecture au unaongea tuu..! Tupo na watu huku chuo kila siku wanakesha studio kama machizi , hii course inahitaji uwezo wa darasani na uwezo binafsi(ubunifu) tofauti na civil , kwa maoni yangu civil ni result ya architecture coz hata hao ma architect wanasoma strength of the building kufahamu a design vp jengo lake, narudia tena civil engineering inachoizidi architecture ni wigo mpana wa kazi mfano barabara,maji,bandari,airports etc ambazo kwa upande flan architecture anahusika kwa mbali kwenye landscaping tuu .

Mkuu ninaijua Architecture na ninaifahamu Civil engineering vizuri zaidi

Kukesha studio haimaanishi kitu ni kigumu ila kinachukua muda zaidi

Kwa civil ukikutana na vitu kama fluid mechanics,foundation engineering,steel design na RCC(Reinforced Cement Concrete)design ufananishe na kuchezea penseli kuchora plan,front na elevation ni kuikosea heshima civil engineering

Pamoja sana mkuu Darius. Kaandae BOQ
 
Mwanangu kama unajiamini komaa na Architecture ina mshiko wa kutosha pande hizi, na ukiajiliwa naona bora zaidi kuliko ukijiajili...!! Lakini ukijiajili unapata zaid hela ila ukubali kuwa kama popo...!? Nina mshikaji wangu mmoja kwa wiki anaweza akakala siku 2. Maana anakesha kumshinda hata popo....!?
 
Back
Top Bottom