Mkuu hivi unafahum idadi ya graduates wa hii course kila mwaka au.?
Ni vyuo viwili tu (udsm & udom) Tz ndio vinatoa hii course kwa level ya bachelor,kwa idadi yao hawazidi 35 kwa taifa zima. Tatizo la ajira lipo dunia kote hakuna nchi iliyoweza kusolve tatizo la ajira zaidi ya kupunguza tu.Alafu washikaji wengi sasa hivi wanakimbilia DSM wakati hizi kazi sana zinafanyika nje ya miji..
Mimi sikufanya kazi bongo niliona michosho tu,kazi ngumu mshahara mdogo.Nilichofanya nilikwenda Kivu kusini kutafuta kazi kama plant operator na sio engineer,Mungu alisaidia nikapata kazi baada ya muda. Nilifanya kazi kwa muda wa miezi sita ,nikapata kazi tena kama junior engineer abroad