Hiyo ni degree programme siyo facult dogo, ila utajua vizuri ukipata admission ya chuo hafu UDSM hakuna course ya wanafunzi wenye div 4 angalia vizuri wamechukua dv1 na 2 peke yake hivyo vyuo vingine ndo wameachiwa makapi
Hujielew ww boboza
Ucwe unalopoka...............2mia muda kufkri kabla ya kuandika.
Ulivoanza kunirekebsha nikakuona bonge la m2 anayejua v2 ila nlivoendelea kusoma ndo nmekuzarau kwel
Nina wacwac na elimu yako.kwan teku niu vilaza?jielewe mkuu et nawee unaejiita msomi,hujaongea point hata moja,cha mwixho naomba nkuulize mkuu unasoma chuo gan??nahtaj jbu lakoBoboza ni wewe unafanya research za kijinga,huna la maana unaloongea,subiri upelekwe kwa vilaza wenzio TEKU huko
sawa mkuu,lakini kuna ulazima gani kwa mtu aliepata div1/2 kuchagua textile desgn Udsm,??wakati anaweza kuchagua kozi kama civil pale DIT,MUST,SAUT,geology pale UDOM n.k na akawa na uhakika wa ajira?
Kwani wewe unasoma kama ulivyofaulu au unataka usome kile unachokitaka na ambacho unadhani kitakusaidia? Nakushauri usipende kusoma degree kwa kuiga au kwa kupenda misifa.
Kuna mwana wangu nae alichaguliwa hio course alipofika udsm walimzingua kuchange,alisoma mwaka mmoja now yupo ardhi anapiga environmental engineering
You need to be legendry on this??? Thanks but idon't have a time to emulate with hoax - kins who manipulate and lapse people in the explicity like this!!.So let me be laconic.
Duuu anaitwa Mlemza........nimepatia???????
ndio huyo huyo namjua mzuri kabisa
Lakini umenielewa na ushauri wangu utaufanyia kazi hata kwa kuwashauri wadogo zako.
Wadogo zangu si vilaza kama wewe unaeshabikia vyuo hata kwenye maswala ya kijinga,badala ya kuangalia mustakabali wa maisha yako.wadogo zangu ni wadogo kuliko wewe ila wanajitambua kuliko wewe na abadani hawawezi kufuata ushauri wa kilevi kama wako,textile design itamsaidia nin mdau hapo juu..??kama sio kukatisha masomo na kupoteza muda wake,??ww unajiita ni mkubwa lakini kichwa chako hakijiongezi katika kupambanua mambo,Elimika kijana,huyo kijana tunamshauri ni kwa faida yake hapo baadae, maana ufaulu wake ulitosha kabisa kusoma kozi zingine ambazo sio za ubabaishaji kama tex desgn,labda kama kwao wanamaisha ya juu kama kwenu,na kama ni hohehahe kama mimi basi lazima awe perfect anapo appy,na si ku apply then aje kuuliza endapo ajira za kozi aliyoapply ni available! Whts ths??thus why itold u that ur the hoax when others are serious.
duh iyo cozy wamekubandikiza nn,
C lazima uajiriwe unaweza kujiajiri kwa kuanza kufuma vitambaa vya kwenye makochi na vibagharashia ili mradi uwe na cherehani tu