Wadogo zangu si vilaza kama wewe unaeshabikia vyuo hata kwenye maswala ya kijinga,badala ya kuangalia mustakabali wa maisha yako.wadogo zangu ni wadogo kuliko wewe ila wanajitambua kuliko wewe na abadani hawawezi kufuata ushauri wa kilevi kama wako,textile design itamsaidia nin mdau hapo juu..??kama sio kukatisha masomo na kupoteza muda wake,??ww unajiita ni mkubwa lakini kichwa chako hakijiongezi katika kupambanua mambo,Elimika kijana,huyo kijana tunamshauri ni kwa faida yake hapo baadae, maana ufaulu wake ulitosha kabisa kusoma kozi zingine ambazo sio za ubabaishaji kama tex desgn,labda kama kwao wanamaisha ya juu kama kwenu,na kama ni hohehahe kama mimi basi lazima awe perfect anapo appy,na si ku apply then aje kuuliza endapo ajira za kozi aliyoapply ni available! Whts ths??thus why itold u that ur the hoax when others are serious.