Bsc. In veterinary medicine

Bsc. In veterinary medicine

Nashkuru sana wakuu kwa ushauri.zaidi ya yote naomba tuombeane
 
BVM? Loh to hell, kozi miaka mi5 then uje kupata tgs? Aaagh ningekuwa mm siendi, nilisoma unit moja inaitwa vertebrate anatomy kuchambua mfupa wa mnyama the same genus but differ in species nilikamatwa na Prof!! Ni kozi tait sio kidogo kama ni sua utakutana na Pereka (Prof)
 
nahitajikujua soko la ajira na changamoto zake kiujumla

wacha ujinga wewe,yaan bdo unataka usome ili uajiriwe?ondoa mawazo mgando hayo watu wamepiga 'BVM' na sa hivi wanailiki makliniki ya mifugo wanapiga pesa kama hawana akil nzur na hawana hata wazo la kuajiriwa.badilika.
 
Hizi departments ndio kozi zinyewe au ni more than that maana kuna. ANATOMY,BIOCHEMISTRY,PHARMACOLOGY,ENTAMOLOGY,PARASITOLOGY AND PUBLIC HEALTH.NAOMBA MSAADA KWA HILI JAMANI?
 
ajira iko njenje.... ukimalizia tu..unakabidhiw wilaya... na pia unaeza ukajiajiriii kwa kuanzisha clinic yako... pia waweza fungua duka la dawa za mifugo.... ukiachilia mbaliiii unaeza anzisha ranch yako binafsiii asikwambie mtu hapo utapiga pesa mpaka bhasiiiiiiii

minyoo na ranch wapi na wapi? sema kuanzisha clinic ya kutibu na kuosha mbwa, ranchi vina wenyewe mtaishia kuoga tu
 
acha uongo kaka.....kama hujasoma md degree ya kwanza hujagusa mgonjwa hata usome phd ya nini....kuna bvm wanafundisha human anatomy baada ya kujiendeleza au masomo mengine ila kamwe hawezi kutibu kamwe (kwa msisitizo)

afadhali umempasha huyo daktari wa wanyama, anafikiri binadamu ni mbwa?
 
leta mfano hata mmoja wa bvm anayetibu hapa tanzania au hata nje ya nchi....mfano mmoja tu ili ubishi uishe nakupa muda mpaka kesho jioni.

mkuu kutibu binadamu unaenda mbali sana hata ushiriki wao katika fani ya mifugo wanakotibu wanyama bado ni wa mashaka sana ni miongoni mwa taaluma wanazokula kodi za wananchi za bure bila kuongeza tija kwa taifa na ndiyo maana wanajificha na kutibu binadamu maana mabo ya mifugo nako wameshapigwa chali
 
ni kozi ngumu kuliko zote SUA....

MAMBO MAGUMU YANA OPPORTUNITY KUBWA MBELENI....
 
Hyo ni kozi ambayo ni ngumu kuliko zote Sua. Ukiwa BVM kudisco hakuna ika unaweza soma hata zaidi ya miaka 7 ndo ugraduate badala ya mitano. ukifeli hata kama uko third year wanakurudisha first year. ila ni kozi nzuri njoo ukiwa umejipanga
 
Hyo ni kozi ambayo ni ngumu kuliko zote Sua. Ukiwa BVM kudisco hakuna ika unaweza soma hata zaidi ya miaka 7 ndo ugraduate badala ya mitano. ukifeli hata kama uko third year wanakurudisha first year. ila ni kozi nzuri njoo ukiwa umejipanga

Mkuu unazungumza kitu unachokifahamu au umesikia kwa jirani? Siyo kweli kwamba ukifeli 3rd year unarudishwa 1st year! Kinachofanyika ni kubaki 3rd year ukisoma kozi ulizofeli wakati wenzio wakienda 4th year. Na hapo ni baada ya kufeli kwenye probation! Otherwise ni kozi moja nzuri sana ingawa ina mambo mengi!
 
BVM mnyamaa,ngumu,misuli,miaka kibao mshahara sawa na nurse mwenye degree:::fedheha:::


Ukibatika kumaliza miaka yako mitano (kama mama Pereka hajakudisco) unaishia kuajiriwa Halimashauri, unapewa pikipiki, sindano na dawa za chanjo za mifugo, liquid nitrogen tank pamoja na stored semen, halafu kazi yako inakuwa ni kuzunguka vijijini kuwahamilisha ng'ombe kwa mikono in what they call Artificial Insermination. Kimshahara chenyewe kiduchu, sijui TGS gani vile. Na kila mara madiwani wanakukalia kooni kuwa huduma za mifugo zimezorota. In short life after the tough BVM studies is not that bright kama utaajiriwa Halmashauri.
 
Ukibatika kumaliza miaka yako mitano (kama mama Pereka hajakudisco) unaishia kuajiriwa Halimashauri, unapewa pikipiki, sindano na dawa za chanjo za mifugo, liquid nitrogen tank pamoja na stored semen, halafu kazi yako inakuwa ni kuzunguka vijijini kuwatomb.. ng'ombe kwa mikono in what the call Artificial Insermination. Na kila mara madiwani wanakukalia kooni.

Hahahaha umenikumbusha Prof Peleka, hiyo kozi bana dah acha tu
 
Back
Top Bottom