BSc. Petroleum Chemistry Vs BSc. Petroleum Engineering. Ni kozi ipi ina uwanja mpana wa Ajira?

BSc. Petroleum Chemistry Vs BSc. Petroleum Engineering. Ni kozi ipi ina uwanja mpana wa Ajira?

mimi binafsi ni muanga wa kusoma PCM sijui hata niliisoma ningekuwa na hizi akili O level ningeunga zangu Diploma hata plumbing ningekuwa mbali sana kwa kweli
[emoji38]PCM bana!Mtu unaweza kujua aliisoma mwaka gani kwa kumuuliza ulikuwa unampango wa kusomea nini ukifika chuo
Ngoja nizipange from recent to oldest
Petroleum (2014-2018)
Telecommunication(2010-2015)
Computer scieñce(2007-2012)
Mechanical eng.
Civil eng.
Electrical
Plumbing

Niekebishe nilipokosea
 
[emoji38]PCM bana!Mtu unaweza kujua aliisoma mwaka gani kwa kumuuliza ulikuwa unampango wa kusomea nini ukifika chuo
Ngoja nizipange from recent to oldest
Petroleum (2014-2018)
Telecommunication(2010-2015)
Computer scieñce(2007-2012)
Mechanical eng.
Civil eng.
Electrical
Plumbing

Niekebishe nilipokosea
mkuu plumbing haijawahi kuwepo kwa level ya degree nahisi ipo ndani ya civil but naona mtu ukichagua kwa makini course za veta zipo zinalipa zaidi ya degree tena unakuwa nondo...but PCM ni comb ya kiki sana na inapoteza vichwa vingi
 
zote ni nzuri ikiwa job market yako iko focused
kwamba unajua unaanzia wapi
 
mimi binafsi ni muanga wa kusoma PCM sijui hata niliisoma ningekuwa na hizi akili O level ningeunga zangu Diploma hata plumbing ningekuwa mbali sana kwa kweli
Mkuu mbona kukatishana tamaa?

Mimi nataka Ku resit nisafishe cheti je bora kwenda diploma ama kupita a level?

Japo nna kazi ya kufanya lakini nmekumbuka shule..

Unanshauri nin
 
Mkuu mbona kukatishana tamaa?

Mimi nataka Ku resit nisafishe cheti je bora kwenda diploma ama kupita a level?

Japo nna kazi ya kufanya lakini nmekumbuka shule..

Unanshauri nin
Piga dip mkuu...Hautajuta
 
Nawaona mnamng'ata mtoa mada huku mnampuliza[emoji28]
 
UWANJA MKUBWA NA WAUWAKIKA WA AJIRA NI CONNECTION TU
 
Back
Top Bottom